Inawezekana sana huyo uliyemjibu hapo ni mjukuu wa Stephen WasiraMaandamano si ghasia. Katafuteni pa kujifichia. Hamuweza kuniweka madarakani bila ridhaa ya umma, kisha tukae kimya kusubiri mtuteke, na kutunga sheria mbaya za kuwaweka madarakani kwa shuruti.