Wanajiandaa Kuua, Tunajiandaa Kuwafunga

Wanajiandaa Kuua, Tunajiandaa Kuwafunga

View attachment 3512501
Kila kijana ana nafasi ya kuwa balozi wa amani kwa kuwakumbusha wenzake hatari za ghasia, kusambaza ujumbe wa utulivu, na kuepuka maneno ya matusi au uchochezi. Leo, katika hii Jumamosi ya kuelekea maadhimisho ya Uhuru, nawakumbusha vijana wenzangu tusherehekee kwa uzalendo, busara na mshikamano , tukijenga taifa letu kwa vitendo vya amani na upendo. #amani #tanzania #afrika #siasa #youth
Unao uhusiano wowote na Stephen Wassira, hau umeajiliwa kumsaidia kazi ofisini kwake?
 
Watakuambia wenzako...
I will be there tomorrow inshaAllah kwa ajili ya maandalizi ya mwisho. Nimepokea report mbaya sana leo, jamaa yangu ambaye ni jirani yangu hapo Kibaha (eneo ambalo nimejenga huko, na yeye alikua na kiwanja), kuwa jamaa alipigwa risasi akiwa ameshashuka kwenye daladala akitokea kazini kwake Kibamba CCM.

Leo ndio nimejua hili, I swear to Allah kisasi ni halali yangu kwa ajili ya mjane wake na wanae. InshaAllah nitaondoka nao
 
Back
Top Bottom