WanaJF wa humu wengi ni wabaguzi

WanaJF wa humu wengi ni wabaguzi

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,351
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua .

Najingine maisha Mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
 
Haupo serious na shida ya mtu kama mimi maana mie nimpuuzi huwezi kuwa serious kuwa huyu mtu kapokea vitisho why how ila mtu mwingine akitoa post za kusaidia mnasaidia sasa apate shida zaidi oh alikuwa na mabwana zake huyu usichukulie shida ya mtu kama kigezo cha kuumuumiza hata mimi sintotoa ushauri humu tena jf maana shida zangu mnachukua for poa tu . Na kichaa ndio kaandika unajiona na hujui kesho yako bro .
Shida yako ni nini haswa??
 
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua .

Najingine maisha mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
Kheeeeeee...!!!
 
Halafu moderators nikiwa na shida wanafuta uzi chapu maana sina umuhimu ila wawengine aka wapo sure wanahaki yakusikilizwa na kushauriwa . Nikiweka post zakifala wanauweka hewani like forever aisee mnakeraa sisi niwanadamu tunahaki sawa tofauti ya huyu na yule ni upi
 
Wengine ndio wema wakusaidiwa humu katika nyanza mbali mbali ila kwangu ni wakudhihakiwa everyday ipo siku yenu maisha yatapiga tu na mtahitaji msaada na mie nawakashifu vile vile .
Aisee walimwengu ndio walivyo sio humu tu, hata huko mtaani ... tena hata ndugu zako wa karibu wanaweza kukutukana na kukukosea heshima kipindi unahitaji msaada.
 
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua .

Najingine maisha mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
Mungu akusaidie haraka upone na hao watu wanao kudhihaki waache ni wajinga tu wana kuejoy badala ya kutowa pole, tutakumiss hi hali ekiendelea hivo.
 
Back
Top Bottom