WanaJF Msaada Tafadhali

Mkuu Nashukuru Kwa Ushauri Wako Mzuri, Nakubaliana Nawe Kabisa Tatizo Ni Namna Ya Kupata Kianzio.
 
Usilalamike una kiatu wangne hawana hata mguu na bado wanashukur na kuyakubal maisha yao
 
...teh hee hee...huo mtaji atautoa wapi wakati unga tu wa kula anaunga donee hapa!
 
Mkuu nimemshauri hivi ili aongee na ndugu wamuazime angalau hio pesa kisha akipata faida atalipa.
Mwalimu suala la kuwa na pesa mfukoni au kuwa na misingi ya kimahusiano imara na ndgu ni pana zaidi ya tujuavyo. Zimebaki familia chache zinazo jivunia umoja wa kindugu. Kunawa wamekuwa wamekuta ndg hawaelewani. Utaambiwa babako alizinguana na ndg zake kwasababu ya mali, hivyo tangu unazaliwa unakuta misingi ya mahusiano ilisha bomoka.

Si hivyo tu mwalimu, heshima ya Ndg kwako na upendo, utavipata kulingana na ulicho nacho mkononi/mfukoni. Tunaheshimiana kwa sababu na si vinginevyo. Ndg yangu kama unao ndg wanaoweza kukuamini wakakupa hayo manoti, inua macho juu mtukuze Mungu. Vinginevyo familia nyingi sasa mambo ni kama mbinguni kila mtu anabeba mzigo wake.
 
Mkuu Umenena Vyema Kabisa.
 
Nyete wewe ndo wakutufanyia hivi unabahati nyuzi zako hazijapita mikononi mwangu muulize joker usingedhurumu mtu humu unabahati sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…