mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,657
yani huyo jamaa sijui ana nia gani na huu uzi. mpaka nishaanza kumkumbuka komandoo wetu Moses lijengeMkuu tafadhali kwa heshima na taadhima! Usiuchafue huu uzi. Sasa mbona hawa siyo Wanajeshi!!
Hawa si ndiyo wale wenye mafungamano na kile chama gani sijui!! Ika na wenyewe kuna warembo! Cha kushangaza pisi kali zote hupatikana mjini pekee!
Sent using Jamii Forums mobile app