Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,398
- 14,154
Hajawahi kutana na mzungu nadhani.na wanavyojua romance na hizo nywele zao wakati anakunyonya zinakugusagusa atasahau maneno yake Nina uhakika kabisaSema kweli?
Hajawahi kutana na mzungu nadhani.na wanavyojua romance na hizo nywele zao wakati anakunyonya zinakugusagusa atasahau maneno yake Nina uhakika kabisaSema kweli?
Mkuu tafadhali kwa heshima na taadhima! Usiuchafue huu uzi. Sasa mbona hawa siyo Wanajeshi!! 😁😁Kuna huyu mwanamama wa shoka pale Morogoro 🔥🔥🔥
View attachment 1968325
View attachment 1968326
View attachment 1968327
View attachment 1968328
View attachment 1968330
Eeeewh!!! Unasema?Hajawahi kutana na mzungu nadhani.na wanavyojua romance na hizo nywele zao wakati anakunyonya zinakugusagusa atasahau maneno yake Nina uhakika kabisa
Naunga hoja mkonoMiili ya kizungu haijawahi nivutia
Mambo ya Tatoo yapo kwetu tu. Hivi unajua kwamba Kuna baadhi ya special forces kama sio Delta basi ni SEALS wanakua na Tatoo kwenye bega LA kushoto /kulia kama sijakoseaWanaruhusiwa kuchora tattoo?
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.Post na wakwetu
Muulize ommy D anavijua vzrivi tofaut ya NAVY na MARINES ni nin? maana wengine naona us navy wengne us marine
Muulize ommy D anavijua vzr
Yuko full packageKuna huyu mwanamama wa shoka pale Morogoro 🔥🔥🔥
View attachment 1968325
View attachment 1968326
View attachment 1968327
View attachment 1968328
View attachment 1968330
US Marine corps ni kikosi maalum kwa ajili ya mambo mengi tu na Wamarekani hujivunia sana hiki kikosi ndo wanalinda balozi karibu zote za Wamarekani, utawaona White house, hata zile helicopter Rais wao hutumia zimepewa majina hayo Marine 1/2.Kikosi kinatumika sana kwenye uvamizi (Assault), Rescue mission na mambo mengine mengi hiki hawa jamaa wanajivunia sana utaskia "Once a marine always a marine"ivi tofaut ya NAVY na MARINES ni nin? maana wengine naona us navy wengne us marine
Kwani hujanisikiaEeeewh!!! Unasema?
Ongeza sauti puliziKwani hujanisikia
Hapo hapo mwisho umefika banaOngeza sauti pulizi
Navy S.E.A.Ls (SEa, Air and Land) a.k.a The Frog-men(jina wanalojipa baada ya kuhitimu mafunzo), Tadpoles(jina wanalopewa wale ambao bado wako mafunzoni).US Marine corps ni kikosi maalum kwa ajili ya mambo mengi tu na Wamarekani hujivunia sana hiki kikosi ndo wanalinda balozi karibu zote za Wamarekani, utawaona White house, hata zile helicopter Rais wao hutumia zimepewa majina hayo Marine 1/2.Kikosi kinatumika sana kwenye uvamizi (Assault), Rescue mission na mambo mengine mengi hiki hawa jamaa wanajivunia sana utaskia "Once a marine always a marine"
Navy ni kikosi cha wanamaji hapa tunazungumzia nyambizi zote, manowari, na Meli zote za kivita na hapa Wana command karibia dunia nzima kwenye international water wanazunguka sana Kuna Pacific command base yake ipo Hawaii. Hii ina cover Asia YOTE Japan, Korea (North & South), mpk China kama sijakosea. Mpk kwetu Africa base ipo nafikiri ni Djibouti kama sijakosea. Wataalam wataongezea.
Navy Seal special forces hii ni tofauti hawa ni kikosi maalum kwa kazi maalum wenye mafunzo ya Hali ya juu sana. Recruits wa hiki kikosi anaweza Kuwa raia lakini wengine hujiunga kutoka kwenye Vikosi vingine kama National Guards, Marines, Navy etc. Hawa Wana opperate kwa vikundi vidogo vidogo lkn wanaleta matokeo makubwa hutumwa nyuma kabisa ya mistari ya adui ili kuhujumu, kuokoa mateka,
Hawa wanauwezo wa kuvamia kutokea popote Majini, Ardhini, Angani na wakaleta matokeo chanya kwa nchi. Ingawa misheni zao zipo zilizo feli pia.
Sa'mbona amevaa u 1st lt? Yaani kikwetu Luteni?huyu dada ni CPt (captain) jina jennifer stachura ni nesi wa jeshiView attachment 1968313
View attachment 1968314
View attachment 1968315