Wanajeshi wa IDF waliangusha ndege isiyo na rubani ya Hezbollah

Wanajeshi wa IDF waliangusha ndege isiyo na rubani ya Hezbollah

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,164
Reaction score
7,702
Ushujaa halisi wa IDF.

Wanajeshi wa IDF waliangusha Drone ya Hezbollah iliyokuwa imebeba mabomu, wakati huo huo askari wa IDF walikuwa wanahamisha majeruhi kutoka Mstari wa mbele kuwapeleka hospitali (Emergency-Evacuation)wanajeshi hao waliojeruhiwa kwenye mapigano huko kusini mwa Lebanon.!!


 
Back
Top Bottom