STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Vikosi vya Syria vimewauwa wanajeshi 6 wa Uturuki Mapema hii leo na kuwajeruhi Vibaya sana huku Uturuki ikijibu kwa kuyalenga maeneo mbali mbali yanayokaliwa na Vikosi vya Syria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app