Shambulio la drones laua wanajeshi 3 wa Marekani na zaidi ya 30 kujeruhiwa

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,639
15,970
Katika shambulio lilofanywa na drones huko Syria kutoka Islamic resistance katika kambi isiyo rasmi ya marekani limesababisha kuwauwa askari watatu wa Marekani kuwajeruhi zaidi ya 30.

Rais Biden na baadhi ya wabunge akiwemo spika wa bunge la marekani wamepatwa na ghadhabu sana hata kufikia hatua ya kutoa kauli za vitisho kwa Iran kuwa ndio chanzo . Mpaka sasa Iran haijasema lolote zaidi ya kushangaa mtu kapigwa Syria lawama zinaenda Iran.

Binafsi nadhani kwa sasa inatakiwa kuelewa kuwa haitakiwi tena kwenye maeneo hayo wafunge virago waondoke laa sivyo wataendelea kupata tabu sana.

Screenshot_20240128_212318_X.jpg
 
Katika shambulio lilofanywa na drones huko Syria kutoka Islamic resistance katika kambi isiyo rasmi ya marekani limesababisha kuwauwa askari watatu wa marekani
kuwajeruhi zaidi ya 30 .

Rais Biden na baadhi ya wabunge akiwemo spika wa bunge la marekani wamepatwa na ghadhabu sana hata kufikia hatua ya kutoa kauli za vitisho kwa Iran kuwa ndio chanzo . Mpaka sasa Iran haijasema lolote zaidi ya kushangaa mtu kapigwa Syria lawama zinaenda Iran.
Binafsi nadhani kwa sasa inatakiwa kuelewa kuwa haitakiwi tena kwenye maeneo hayo wafunge virago waondoke laa sivyo wataendelea kupata tabu sana.
View attachment 2886370
Wamepigwa ndani ya Jordan mpakani na Syria.
Jordan bora wapigwe na wao kidogo naona wamelala sana.
 
🚨UPDATE: NUMBER OF INJURED IN U.S. BASE ATTACK EXPECTED TO CHANGE

According to a U.S. official with the White House National Security Council, some of the injured troops have significant shrapnel wounds and traumatic brain injuries.

They expect the number of injured to change, although they didn’t say whether this would also change the number of fatalities.

Source: ABC News
 
Gaidi atafungasha virago kwa namna yoyote tu pale mashariki ya kati, sasa hivi anapigwa mande, gaza anadundwa red sea akatizi, Syria ndo kama hivyo, middle east bila magaidi ya kimarekani inawezekana.
Waondoke tu kwanini wanalazimisha kukalia nchi za watu? Hivi ukienda New York au Washington utakuta kambi za majeshi ya Iran au Saudi Arabia?
 
Gaidi atafungasha virago kwa namna yoyote tu pale mashariki ya kati, sasa hivi anapigwa mande, gaza anadundwa red sea akatizi, Syria ndo kama hivyo, middle east bila magaidi ya kimarekani inawezekana.
Hao washenzi wana shobo ndio chanzo cha vita ,hawakai kwao pumbavu kabisa ...Hao virusi sio wa kukaribisha.


Dunia ingekuwa salama kama wangetulia
 
Back
Top Bottom