mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 899
- 1,761
Vikosi vya Syria vimewauwa wanajeshi 6 wa Uturuki Mapema hii leo na kuwajeruhi Vibaya sana huku Uturuki ikijibu kwa kuyalenga maeneo mbali mbali yanayokaliwa na Vikosi vya Syria.
View attachment 1353503
Sent using Jamii Forums mobile app
Syria haiwezi Tena kuwa huru mkuu, soma Biblia Takatifu ,Isaya 17:1
Syria haiwezi Tena kuwa huru mkuu, soma Biblia Takatifu ,Isaya 17:1
Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia Tukufu Ndio Nn MKUU Nakiheshimu Zaidi Ya Sana Hicho Kitabu Ila Sikiamini Unanambiaje Nikisome MKUU ?!...Syria haiwezi Tena kuwa huru mkuu, soma Biblia Takatifu ,Isaya 17:1
Sent using Jamii Forums mobile app