beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Joe Biden amesema Marekani itaendelea kuwaondoa watu Kabul licha ya shambulio lililosababisha vifo vya Wanajeshi hao. Kwa mujibu wa Kituo cha Al Jazeera, Raia wapatao 72 wamepoteza maisha.
Ameahidi kulipiza kisasi kufuatia kitendo hicho hawatosahau wala kusamehe na wahusika watasakwa. Licha ya kutolewa tahadhari ya kutokea shambulio, idadi kubwa ya watu walikusanyika eneonla Uwanja wa Ndege wa Kabul wakitumaini kuruhusiwa kupanda Ndege.
Hadi sasa zaidi ya watu 100,000 wameshaondolewa Kabul wakiwemo 66,000 kutoka Marekani.
===
At least 72 civilians have been killed in the two explosions outside Kabul airport, a hospital source and a Taliban official in the Afghan capital say.
At least 13 US soldiers were also killed in Thursday’s blasts, the worst single-day loss for American troops in Afghanistan since the August 2011 attack on a Chinook helicopter that killed 30 service members.
The US troops helping to evacuate Afghans desperate to flee Taliban rule are bracing for more attacks.
Thursday’s attack was claimed by ISIL (ISIS) offshoot in Afghanistan, The Islamic State in Khorasan Province, ISKP (ISIS-K), which said its suicide bombers singled out “translators and collaborators with the American army”.
US President Joe Biden pledged to retaliate against the attack in Kabul, confirming that the bombings were carried out by ISIS-K. “We will hunt you down and make you pay. I will defend our interests in our people with every measure at my command,” he said.
Source: Al Jazeera
Ameahidi kulipiza kisasi kufuatia kitendo hicho hawatosahau wala kusamehe na wahusika watasakwa. Licha ya kutolewa tahadhari ya kutokea shambulio, idadi kubwa ya watu walikusanyika eneonla Uwanja wa Ndege wa Kabul wakitumaini kuruhusiwa kupanda Ndege.
Hadi sasa zaidi ya watu 100,000 wameshaondolewa Kabul wakiwemo 66,000 kutoka Marekani.
===
At least 72 civilians have been killed in the two explosions outside Kabul airport, a hospital source and a Taliban official in the Afghan capital say.
At least 13 US soldiers were also killed in Thursday’s blasts, the worst single-day loss for American troops in Afghanistan since the August 2011 attack on a Chinook helicopter that killed 30 service members.
The US troops helping to evacuate Afghans desperate to flee Taliban rule are bracing for more attacks.
Thursday’s attack was claimed by ISIL (ISIS) offshoot in Afghanistan, The Islamic State in Khorasan Province, ISKP (ISIS-K), which said its suicide bombers singled out “translators and collaborators with the American army”.
US President Joe Biden pledged to retaliate against the attack in Kabul, confirming that the bombings were carried out by ISIS-K. “We will hunt you down and make you pay. I will defend our interests in our people with every measure at my command,” he said.
Source: Al Jazeera