Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Wanajamii wenzangu,
Tukaeni kama kikao kwenye uzi huu kuhusiana na kiongozi wetu watananiaz wa awamu ya tano, mwenye ushauri aweke hapa kwa vile raisi wetu amekuja kuwakomboa wananchi wake naamini vigogo wanaojilimbikizia mali za wananchi watakua hawako tayari na hawatopenda kuona raisi huyu na watakua tayari kumshambulia iwe shambulio la moto au baridi, kutokana na utendaje wake mzuri wa kazi.
Ushauri wangu ni kwamba! awe karibu na ulinzi wa JWTZ kwa maana hawa ni tofauti na ulinzi mwengine USALAMA wao wawe na kazi ya kuwachunguza majasusi ambao Magufuli atawatumbua majipu au wewe mwenzangu unashauri vipi?
Tukaeni kama kikao kwenye uzi huu kuhusiana na kiongozi wetu watananiaz wa awamu ya tano, mwenye ushauri aweke hapa kwa vile raisi wetu amekuja kuwakomboa wananchi wake naamini vigogo wanaojilimbikizia mali za wananchi watakua hawako tayari na hawatopenda kuona raisi huyu na watakua tayari kumshambulia iwe shambulio la moto au baridi, kutokana na utendaje wake mzuri wa kazi.
Ushauri wangu ni kwamba! awe karibu na ulinzi wa JWTZ kwa maana hawa ni tofauti na ulinzi mwengine USALAMA wao wawe na kazi ya kuwachunguza majasusi ambao Magufuli atawatumbua majipu au wewe mwenzangu unashauri vipi?