Lord Bares hapa karata zake hazikufanya kazi kwa the Starks ila jamaa alitaka kuitawala North kwa ulaghai sema ni Ile kusema huwezi tumia same method kucheza na akili za watu.
When people ask you about thisHaijaifikia GOT hata Kidogo.
GOT ni habari nyingine mpaka Sasa bado sijaona series inayoifikia GOT.
1. Character development yake ni level nyingine.
2. Very unpredictable
Character unayemkubali sana unashtukia kaliwa kichwa shwaaaa.
3. Ile scene Arya stark anaua Men of House Frey.
Pia Pale Littefinger alivyojikuta yeye ndio anatakiwa ajibie mashtaka ya Sansa na analiwa kichwa shwaaaa.
Valar Morghulis - All Men Must Die
Wajapan wanakuaga na vitu vizuri sanaNi nzuri inapendeza
Kichwani mwangu nishajiambia muvi yoyote kutoka japan juo iko bomba. Hata story nyingi za muvi z wazungu hua wanawaiga au kuchukua stori za wajapan.Wajapan wanakuaga na vitu vizuri sana
Kaupiga mwingi kwenye 3 body problemsSer Davos the best smuggler alive in the world (Tyrion) sema jamaa alikuwa mtu mmoja mwaminifu kwa mabosi zake sana
Japan anime sijakutana na mbovu hata mojaKichwani mwangu nishajiambia muvi yoyote kutoka japan juo iko bomba. Hata story nyingi za muvi z wazungu hua wanawaiga au kuchukua stori za wajapan.
Anime zao mara nyingi hua ni kali sana hasa upande wa stori.
Eg.. Ukiangalia Attack on titan hutatamani iishe... Very interesting
Hii three body problem ikoje!?Kaupiga mwingi kwenye 3 body problems
Ni chuma haswa kitafutelHii three body problem ikoje!?
Hii spoils ni noma, Aisee Daenerys ni balaa 🔥🔥Umesahau episodes mbili bomba
Hardhome na Spoils of Wars
Ser Bronn of Blackwater, Master of Coin, lord of HighGarden, Warden of South.GOT ni level ingine kabisa Kila itakapofananishwa nitasimama kuisemea
Imagine scene kama Ile pale Tyrion anamuaga Varys ili aliwe na Dragon "Was me"
Imagine John ana mstudy Queen na kujua wakati gani amfanyie execution
Battle of the bastards
Battle of black water
Battle of queens
Poet ya Euron aliyemtongoza Cercei mbele ya Jermie Lannister the kingslayer
Cult members wa GOTUtaipenda kanavutia sana hasa ukiwa unamsikiliza lady Mariko sama akiongea kijapan. Ila bado haijafika level ya GOT
Kutazama mara mia ni uongo?Tokugawa Shogunate...
Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.
Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-sama😎
View attachment 2972102
Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones.
Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.
View attachment 2972104
Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
View attachment 2972105
Kudhihaki ni dalili za low thinking capacity. Kitu ambacho uko nachoNasema game of throne nimeitazama zaidi ya mara mia. Nadhani inafika mara buku. Usiwe akili mgando