Tunahitaji walimu wa Physics, Chemistry, Biology, History, Kiswahili, Language,Adv Mathematics, Commerce, Accountancy kwa A level na O-level amabao wapo mkoa wa mwanza kwa kazi ya kufundisha part time.
Serikali huwa wanaweka scale ya mshahara wanapohitaji walimu ili mtu ajitathimini kama ataukubali huo mshahara. Sasa hapa hawaoneshi kiwango cha mshahara maana yake ni kwenda kuelewana mwisho wake mwalimu atakimbia kazi bila kuaga
Tunahitaji walimu wa Physics, Chemistry, Biology, History, Kiswahili, Language,Adv Mathematics, Commerce, Accountancy kwa A level na O-level amabao wapo mkoa wa mwanza kwa kazi ya kufundisha part time.