InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,182
Vizuri...ila inabidi uongezee siku nyingine iwe kama ni nyama wote mle nyama na kama ni pilau samaki wote mle pilau samaki...msiishie kula pamoja dagaa na maharage,maisha ni haya haya tu.Well said invisible, watu wanapokuwa na negative attitude kwa kila kitu ni tatizo kubwa sana, mimi vijana wote niliowahi kufanya nao kazi huwa tunakula meza moja, kama ni dagaa basi wote tutakula dagaa, kama ni maharage wote tunakula maharage,hivyo yaani

