Naisujaki Lekangai JF-Expert Member Aug 19, 2012 1,340 1,377 Dec 29, 2016 #5 13/7, 5/2 Hahaha mnachekesha nyie!
Freyzem JF-Expert Member Jun 29, 2013 10,120 24,666 Dec 29, 2016 #6 Waalimu wangekuwa wanatumia model kama hizo, hesabu ingependwa saaana!!
LuisMkinga JF-Expert Member Jan 10, 2012 3,243 6,229 Dec 29, 2016 #7 Hiyo ni namba Tisa ukiitaza kiupande ikikuangalia kwa mbele ni herufi P na ukiitazama kwa upana wa nyuma ni herufi Y
Hiyo ni namba Tisa ukiitaza kiupande ikikuangalia kwa mbele ni herufi P na ukiitazama kwa upana wa nyuma ni herufi Y
Hunyu JF-Expert Member Aug 19, 2014 4,774 4,327 Dec 29, 2016 #10 Mwenye Dawa ya kubadili numerator kuwa denominator na virse versa ajitokeze..
Hute JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,537 6,471 Dec 30, 2016 #11 salaniatz said: Click to expand... MBONA ANAFANANA NA LADY...ee, a.k.a muke ya prince wa Nigeria.
moniccca JF-Expert Member Nov 15, 2015 2,383 3,285 Dec 30, 2016 #12 It can be changed into mixed fraction