Wanaharakati waililia mwanaHalisi

Wanaharakati waililia mwanaHalisi

Status
Not open for further replies.

mgomba101

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
1,822
Reaction score
711
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, umetoa tamko kwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete, kuagiza watendaji wake kulifungulia gazeti la Mwanahalisi.

Tamko hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRD), Marcos Albanie, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam.

Albanie alisema tangu serikali itangaze kulifungia gazeti la wiki la Mwanahalisi ni jana siku 175 sawa na kipindi cha miezi mitano na siku 24, wadau wa habari na wananchi wamekuwa wakipaza sauti kuiomba serikali kulifungulia gazeti hilo lakini imekuwa kimya.

Aliongeza kufungiwa kwa gazeti hilo kulitokana na taarifa kuhusiana na kutekwa, kuteswa na kisha kutupwa katika msitu wa Mabwepande, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Stephen Ulimboka.
 
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, umetoa tamko kwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete, kuagiza watendaji wake kulifungulia gazeti la Mwanahalisi.

Tamko hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRD), Marcos Albanie, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam.

Albanie alisema tangu serikali itangaze kulifungia gazeti la wiki la Mwanahalisi ni jana siku 175 sawa na kipindi cha miezi mitano na siku 24, wadau wa habari na wananchi wamekuwa wakipaza sauti kuiomba serikali kulifungulia gazeti hilo lakini imekuwa kimya.

Aliongeza kufungiwa kwa gazeti hilo kulitokana na taarifa kuhusiana na kutekwa, kuteswa na kisha kutupwa katika msitu wa Mabwepande, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Stephen Ulimboka.
Mimi naogopa kusema NAOMBA TV IMAAN IWEPO HEWANI
 
sasa hivi wao wako serious na kufadhili masalia wapate vipindi kuichafua chadema sasa kweli wanawaza ht uhuru wa habari hawa sidhani
 
kila lenye mwanzo lina mwisho wake.ila naamini ipo siku hili gazi litarudi tena.huwezi kutawala kwa kukandamiza siku zote ipo siku Mungu atasema nao.
 
kila anayefanya uchochezi,kila chombo kinachofanya uchochezi,kila anaeshabikia hali hiyo wanatakiwa kupigwa ban bila huruma.
 
Walifunguelie bana..uovu wafanye wao halafu waogope kuanikwa hadharani.....
 
kila lenye mwanzo lina mwisho wake.ila naamini ipo siku hili gazi litarudi tena.huwezi kutawala kwa kukandamiza siku zote ipo siku Mungu atasema nao.

Kabisa kiongozi wangu. Ipo siku


Sent via EyePhone
 
Gazeti lilifungiwa shauri ya kuanika ukweli halisia, ukweli ambao ni nyeti na ulitoka kwa watendaji wakuu wa serikali (tena kwa vithibitisho), limefungiwa

Ajabu sana nchi hii, lifungulieni ila serikali inge-deal na civil servants wake wenye links za nyeti kuu za serikali
 
Ccm bhana ni kama mlevi tu anatema mate kono wa kushoto anafukia mkono wa kulia.
 
Ifike wakati watanzania tuseme basi kwa huu ukandamizaji wa uhuru wa watu. Yaani hii nchi inaongozwa kama familia ambako baba ni CCM na mama ni KIKWETE. haya bwana sisi watanzania inabidii tumuheshimu mama wa familia ambaye ni kikwete, OMBI kwa mama: Tunakuomba umuombe msamaha kaka yetu mwanahalisi kwa baba maana baba amesema hataki kumuona kabisa.
 
Wataifungia Mwanahalisi lakini HAWATAFUNGIA UKWELI
 
Mwanahalisi halirudi mpaka baada ya 2015
Mark my words....
 
Hivi ile sheria ya kufungia magazeti haina kikomo? kama ni hivyo haifai na inatakiwa ifutwe toka kwenye vitabu vya sheria hapa nchini
 
kila anayefanya uchochezi,kila chombo kinachofanya uchochezi,kila anaeshabikia hali hiyo wanatakiwa kupigwa ban bila huruma.

Tatizo kama mtu akiambiwa ukweli hapa Tanzania eti tunasema ni mchochezi.

Sasa mbona kwa nini msimshitaki Kubenea mahakamani ili athibitishe kuhusu RAMA????

Kwa nini mlifungie gazeti na kumwachia huru muhusika?????

Je, DCI manumba amefanya upeleelzi katika kuthibbitisha ukweli wa RAMA kuhusika, na nini matokeo yake??

UKIKAA KIMYAa MAANA YAKE NI MULONGO UNACHEZA MOVIe TU!!!!


Lakini mwisho ni hapa:-

MWaka 2012 - 2014 mtasema hivi:-
CCM Mahututi.jpg

MWaka 2015 mtakuwa hapa:-
View attachment 80471



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Tatizo kama mtu akiambiwa ukweli hapa Tanzania eti tunasema ni mchochezi.

Sasa mbona kwa nini msimshitaki Kubenea mahakamani ili athibitishe kuhusu RAMA????

Kwa nini mlifungie gazeti na kumwachia huru muhusika?????

Je, DCI manumba amefanya upeleelzi katika kuthibbitisha ukweli wa RAMA kuhusika, na nini matokeo yake??

UKIKAA KIMYAa MAANA YAKE NI MULONGO UNACHEZA MOVIe TU!!!!


!!
tanzania tuna polisi,na mahakama.kazi zao ziko wazi na wote twazifahamu.lakini pia tuna kitengo cha usalama wa taifa.je! unajua hawa jamaa kazi yao ni nini? je? unajua wanaripoti kwa nani? je! unajua ni namna gani wanavyofanya kazi zao (kuchukua hatua juu ya masuala mbali mbali wanayodhani yanawahusu ikiwemo ku manage yale wanayodhani yanahatarisha usalama wa taifa)unaelewa?je ungependa hawa jamaa wafanye kazi tofauti na wanavyofanya sasa? (ikiwa unajua wanavyofanya).kama ungependa iwe tofauti; unapendekeza wafanye je na kwa nini? au ungependa kitengo hiki kisiwepo kwa kuwa tuna polisi na jeshi?
 
tanzania tuna polisi,na mahakama.kazi zao ziko wazi na wote twazifahamu.lakini pia tuna kitengo cha usalama wa taifa.je! unajua hawa jamaa kazi yao ni nini? je? unajua wanaripoti kwa nani? je! unajua ni namna gani wanavyofanya kazi zao (kuchukua hatua juu ya masuala mbali mbali wanayodhani yanawahusu ikiwemo ku manage yale wanayodhani yanahatarisha usalama wa taifa)unaelewa?je ungependa hawa jamaa wafanye kazi tofauti na wanavyofanya sasa? (ikiwa unajua wanavyofanya).kama ungependa iwe tofauti; unapendekeza wafanye je na kwa nini? au ungependa kitengo hiki kisiwepo kwa kuwa tuna polisi na jeshi?

Kwa nini mchungaji Mtikila alipotoa maneno ya uchochezi Askari Polisi waliwnda kupekua home kwake na kumfuatilia zaidi kuhusu tuhuma hizo.

Sasa kwa nini Kubenea asishitakiwe na badala yake gazeti ndilo lishitakiwe???

Naomba nipe jibu hapa ndi[po nikuelewe.

Kama ni uchochezi aliyefanya anajulikana kwa nini hao Polisi na Usalama wa Taifa wasichukue hatua kwa hili???


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
kwa nini mchungaji mtikila alipotoa maneno ya uchochezi askari polisi waliwnda kupekua home kwake na kumfuatilia zaidi kuhusu tuhuma hizo.

Sasa kwa nini kubenea asishitakiwe na badala yake gazeti ndilo lishitakiwe???

Naomba nipe jibu hapa ndi[po nikuelewe.

Kama ni uchochezi aliyefanya anajulikana kwa nini hao polisi na usalama wa taifa wasichukue hatua kwa hili???


Mizambwa
inaniuma sana!!!
ndugu umekwepa kujibu maswali yangu hapo juu na nafahamu vyema kwa nini umekwepa ila ngoja mimi nikujibu yako. Kimsingi,kubenea alikuwa ndiye mhariri wa gazeti kwa hiyo ni sahihi likishughulikiwa gazeti kwa mujibu wa sheria za vyombo vya habari.kesi ya mtikila na mwanahalisi ni vitu tofauti kabisa.
 
ndugu umekwepa kujibu maswali yangu hapo juu na nafahamu vyema kwa nini umekwepa ila ngoja mimi nikujibu yako. Kimsingi,kubenea alikuwa ndiye mhariri wa gazeti kwa hiyo ni sahihi likishughulikiwa gazeti kwa mujibu wa sheria za vyombo vya habari.kesi ya mtikila na mwanahalisi ni vitu tofauti kabisa.

Bila shaka hiyo sheria ilikuwa ni ya mkoloni kwani ni kandamizi kwa uhuru wa vyombo vya habari. Serikali / wizara wanaitumia kudumaza wanahabari.

je leo hii mim nikiandika vipeperushi vya uchochezi kama mnavyoita na kuweka jina langu pamoja na address yangu niliyeandika.

Je, vitahukumiwa vipeperushi au nitahukumiwa mimi niliyeandika!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom