Wanaharakati huru bado wanahitajika?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,293
12,593
Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo.

Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
 
Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo.

Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
Waonye maana wamepora kazi ya MATAGA
FB_IMG_1617728213402.jpg
 
Back
Top Bottom