Waonye maana wamepora kazi ya MATAGAJamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo.
Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
Lisu usituvurugie umoja wetu!Waonye maana wamepora kazi ya MATAGAView attachment 1745376