robbyr
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 168
- 281
Tunajua mnapambania ugali wenu ila hii vita yenu na serikali ni ya hovyo.
Kwa sasa mnasema waliouwawa ni 10,000 kutoka elfu moja ( 1000) mnadhani binadamu ni sisimizi. Idadi hii hata kwa kiziwi tayari ni siasa chafu.
Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Kwa harakati hizi naona kuna chama kilihusika moja kwa moja katika machafuko.
Rais hausiki na mauji na ndiye rais bora sema siasa uchwara ili wafanya vijana watumiwe kama chambo.
Kwa sasa mnasema waliouwawa ni 10,000 kutoka elfu moja ( 1000) mnadhani binadamu ni sisimizi. Idadi hii hata kwa kiziwi tayari ni siasa chafu.
Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Kwa harakati hizi naona kuna chama kilihusika moja kwa moja katika machafuko.
Rais hausiki na mauji na ndiye rais bora sema siasa uchwara ili wafanya vijana watumiwe kama chambo.