Wanaharakati wa siasa wa bongo, yani wanatupigisha fantasy ya ajabu sana😅
Oooohh mahakama ya the hegi😁 Cc Bufa.
Eti Marekani wanasikia kilio chetu, gademitt, wapi ulisikia Marekani anajali nyumbu yeyote zaidi ya maslai yake? Hatuwezi jipambania wenyewe, sisi tutabaki kama washika mapembe na wapiga ramli tu, wazee wa code Uchwara gademitt.
Note; nipo bia ya 18 wakuokota waokote , na log out.🤗
Cdm kitu wamekosa ni ujasusi ndani ya chama na unafki , unapompiga adui usichague sehemu ya kupigaSauti ya waTz itapaa kupitia spika ya nani ikiwa bunge ni la chama kimoja?
Upinzani wana agenda zao ziko mezani na ziko clear, However upinzani hawawezi kumanage kila kinachozungumzwa na kila mtu anayejifungamanisha na upinzani. Matamko ya chama ndio dira.
Mkuu unataja CDM wafanye nini juu ya movement za wanaharakati wengine, ikiwa CDM wenyewe wanaamini katika democrasia?
Wafanyaje ? waje na statement huyu ni wetu huyu si wetu? Nieleweshe
Tunajua no free lunch lakini anatusaidia mdogo mdogo,bila wao sijui hata hii JF kama ingekuwepo na lissu wangeshamzika zamaniBwashee achana na upambanaji kwa kutegemea wazungu ,mzungu maslai yake kwanza ni kipaumbele, hapo ni maslai yake hayajafika kilo ndio maana kabana
Bwashe tuchangie chama 😂Cdm kitu wamekosa ni ujasusi ndani ya chama na unafki , unapompiga adui usichague sehemu ya kupiga
Bwashee chama nachangia vibaya mnoBwashe tuchangie chama 😂
Bila hela kuna mambo ni magumu kutekelezwa.
Walahi CDM ikifanikiwa kufutwa watu wote wakanyamazishwa, hakuna rangi tutaacha kuona. Kama tunaipenda Tz, tunataka kulea watoto Tz tusapoti upinzani.
Bwashee , upambanaji wa kweli , utatoka ndani wazungu au hao unaowategemea utajuaje wameshakaa meza moja na watesi wetu, mambo yameenda classified , kwa maslai yao , zilizo baki ni Drama tu?Tunajua no free lunch lakini anatusaidia mdogo mdogo,bila wao sijui hata hii JF kama ingekuwepo na lissu wangeshamzika zamani
Good mangi!Bwashee chama nachangia vibaya mno