Hawa ndo wamatumbi wenye laana bwashee😂😂Asee acha hii vita nitakunyonga bwashee
Unathibitishaje ukweli wa wanachosema hao wakubwa dhidi ya wanaharakati? Miaka na miaka wanaharakati wamesingiziwa kila baya.Situmiki na taka taka ya sisiemi asee ila nakutana na wakubw kwenye pombe wanathibisha uhuni wa waharakati uchwara ambao mimi nakua natetea kwenye maneno ya kusindikiza ulevi
Hii kitu naongea na hao nyumbu wanajijua kmmk zao.
Tulia lissu ni mkombozi , hauwezi badilisha yeye ndani yake alivyoHawa ndo wamatumbi wenye laana bwashee😂😂
Yaani anaongea kitu ambacho haipo kabisa, sometimes kutumia emotions vibaya ni hatari sana, ndo kinacho wakumba wa kina Lissu... Sometimes soma mchezo kabla ya kuucheza
I know ila it's a wrong move.Tulia lissu ni mkombozi , hauwezi badilisha yeye ndani yake alivyo
Wametufanya mazombie na wajinga, kwa pamoja tukatae uhuni huuWakoloni weusi kwa mbinu wanazotumia wanajiamini mno na wantuona matako yao .
Nakumbuka, hata Mbowe…Shangazi pia alikua mwanaharakati, unakumbuka?
Nchi lazima ipambaniwe kwa damu na jasho ,haijalishi watakufa kina na nani na wangapi aseeI know ila it's a wrong move.
Na kwake yuko sahihi maana he's gone thru alot. Ila kwa sisi wamatumbi yapaswa kumwonea huruma.
Anatesekea viazi tu
Bwashee za ndani kabisa , tunapigiwa drama Uchwara na wanaharakati viazi na chadema wanaufyata tu
Unaongea ukiwa unasogeza chupa za bia sio? You jerkass😂😂Nchi lazima ipambaniwe kwa damu na jasho ,haijalishi watakufa kina na nani na wangapi asee
Wanaharakati uchwara wanakuaje na nguvu kuliko sauti ya watanzania ?Nakumbuka, hata Mbowe…
CCM inatumia tools zote kudhoofisha harakati: mahakama, polisi, media, wasiojulikana , kodi zetu zinahongwa mchana na usiku, kodi zinatumika kufuatilia wana harakati, kufund project za kuteka na kutesa. Sio wote watafurukuta/watasavaivu hili rungu.
Mtu akiyaaga mashindano tumuelewe.
Kama una hasira na wana harakati, my friend hasira zao unapeleka mahali sio….
Unless kuna kingine unafahamu utushirikishe.
Napigana khatwe au wewe ndio yule ninaemtaja hapa nini ? Na sukari yako imepanda sasa?Kama kupigana rahisi pigana wewe, yaani wewe umejifunika shuka ndani kwako unataka upiganiwe na wanaume wenzio. Wakipewa kesi za uhaini mnaishia kuwacheka
Bwashee achana na upambanaji kwa kutegemea wazungu ,mzungu maslai yake kwanza ni kipaumbele, hapo ni maslai yake hayajafika kilo ndio maana kabanaHujui EU wamezuia misaada na senate ya US wanafanya investigation ya hii serikali, commonwealth wametoa deadline kwa hii serikali nini kifanyike,kuna maofisa wengi wamepigwa ban na hawawezi kuficha pesa zao kwa beberu, bwashee fuatilia news kuna pressure kubwa sana kutoka nje sasa kuidhibiti hii serikali ya wahuni
Kuna kitu unataka kusema ila hufunguki vizuri, mimi sio mwanaharakati na sifikirii kuwa hukoNapigana khatwe au wewe ndio yule ninaemtaja hapa nini ? Na sukari yako imepanda sasa?
Wanaharakati uchwara wanakuaje na nguvu kuliko sauti ya watanzania ?
Upinzani wana agenda zao ziko mezani na ziko clear, However upinzani hawawezi kumanage kila kinachozungumzwa na kila mtu anayejifungamanisha na upinzani. Matamko ya chama ndio dira.Nakubali harakati na muhimu wake , ila mfumo wa upinzani unashindwa vipi kutambua harakati uchwara?
Mkuu unataja CDM wafanye nini juu ya movement za wanaharakati wengine, ikiwa CDM wenyewe wanaamini katika democrasia?Sasa hivi mpo kwenye movement za kumtafuta recho dagwa😅😅😅
Asee niacheni ninywe bia bhana🤣