min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,889
- 165,866
Wanaharakati wa siasa wa bongo, yani wanatupigisha fantasy ya ajabu sanaš
Oooohh mahakama ya the hegiš Cc Bufa.
Eti Marekani wanasikia kilio chetu, gademitt, wapi ulisikia Marekani anajali nyumbu yeyote zaidi ya maslai yake? Hatuwezi jipambania wenyewe, sisi tutabaki kama washika mapembe na wapiga ramli tu, wazee wa code Uchwara gademitt.
Note; nipo bia ya 18 wakuokota waokote , na log out.š¤
Oooohh mahakama ya the hegiš Cc Bufa.
Eti Marekani wanasikia kilio chetu, gademitt, wapi ulisikia Marekani anajali nyumbu yeyote zaidi ya maslai yake? Hatuwezi jipambania wenyewe, sisi tutabaki kama washika mapembe na wapiga ramli tu, wazee wa code Uchwara gademitt.
Note; nipo bia ya 18 wakuokota waokote , na log out.š¤