Wanahabari wamkaushia Rais.

Wanahabari wamkaushia Rais.

Kuna ile kauli ya wanahabari kuwa muhimili wa nne wa dola,siku hizi imepotea kabisa.
 
Mimi naomba kumpongeza Rais wetu mtukufu maana hakuna namna. Mzalendo amebana matumizi ameondoa kwenye ajira watumishi zaidi ya elfu kumi, nafasi hazijajazwa, nazijazwa itaitwa ajira mpya. Ameongeza Wizara na lundo la mawaziri, yote nikubana matumizi,. Hakuna namna, hivi bora nini kuuliza Swali la maelekezo au kunyamaza kimya???
 
Kutokuuliza swali nalo ni swali fikirishi
 
Nadhani jana ile kutomuuliza maswali imesaidia siku imeenda poa maana wangeuliza tu mjomba angefyatuka tena na vilio kua "tumeibiwa sanaaaa" hadithi ya vita ya uchumo ingesimuliwa upya.
 
sio kweli huwez kuwa simba polini Mara paaah. Swala pemben yako kisha unavunga joh.ulimi wako utakuponza enzi ya sasa ndo maana walipiga kimwa
Lkn walipewa hiyo fursa(km ulikua unafatilia) lkn hakuna aliyjitokeza ili aulize maswali.Na mbona kipindi fulani yy mwenyewe JPM aliwalika wamulize maswali na wakafanya hivyo?Hii ya sasa ilikua na tofauti gani?
 
Bora wavunge 🙁
  1. Isije kua balaah
    Lkn walipewa hiyo fursa(km ulikua unafatilia) lkn hakuna aliyjitokeza ili aulize maswali.Na mbona kipindi fulani yy mwenyewe JPM aliwalika wamulize maswali na wakafanya hivyo?Hii ya sasa ilikua na tofauti gani?
    Kwa sasa kila Sikh inabadilika Uhuru wa kuongea sasa basi.
    utajiletea shida
    mwenyewe
 
Alishasema yeye hapangiwi na mtu, halafu ukaulize swali?Ngoja amalize miaka yake ya kutawala maana leut col Bashite ndio mkuu wa utesaji na upotezwaji wa wakosoaji nchini.
 
Back
Top Bottom