Wanahabari wakimfuata nyuma Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali Andrew Chenge (MB) kumhoji

Huyu Mzee apewe medai, au tumpeni Ballon d or!!! Maana kila sehemu yenye upigaji mkubwa mzee yupo, kinacho shangaza bado yupo kwenye uongozi serekalini.
Hahahahaha
Huyu jamaa kila scandal yupo aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…