Wanafunzi wengi wanashindwa kufanya homework wanazopewa

Wanafunzi wengi wanashindwa kufanya homework wanazopewa

Mungu Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
1,474
Reaction score
1,086
Hivi nimekaa nimejiuliza,

Hawa watoto wanaosoma shule za wenye hela/Kulipia. Kila siku wanapewa home work na hata ukiwauliza wengi wanategemea msaada wa wazazi katika kufanya hizo home work.

Sasa nataka kufahamu hizo Ada wazazi wanazolipa na wao mnawalipa mshahara? Maana ndiyo wanafanya kazi kubwa pia huku nyumbani
 
Homework zile za likizo ndio zilikuwa balaa, unakuta zimebaki siku 3 na hujaanza kuifanya, na ukute likizo ilikuwa ya mwezi mzima
 
Ni muhimu kufanya nao homework ili kuona kama kweli mtoto wako amefikia level ya unachokiona kwenye daftari,

Sisi tupo tunafanya homework hapa.
Kuona maendeleo ni tofauti na kumfanyia homework. Unakuta mtoto class work kapata ila homework zote zimemshinda. Mzazi ndo anaanza kumfundisha upya mtoto ili aweze kufanya homework zake. Sasa hapo ada ya mamilioni mzazi analipa ya nini?
 
Kuona maendeleo ni tofauti na kumfanyia homework. Unakuta mtoto class work kapata ila homework zote zimemshinda. Mzazi ndo anaanza kumfundisha upya mtoto ili aweze kufanya homework zake. Sasa hapo ada ya mamilioni mzazi analipa ya nini?
Kwa hiyo ukiona tofauti kati ya darasani na homework
Unakuwa haujaona maendeleo?
 
Endelea kumfanyia mwanao homework mitihani ya taifa itakuumbua!
Kwani unamfanyia ama unamsimamia?

Nadhani una tatizo hapo.
Kama mzazi kupitia homework unapata nafasi ya kumsimamia mwanao na kushiriki nae katika masomo yake.
Kama unaona ni sawa kumuachia mwalimu kila kitu
Ni sawa kwa upande wako.
Subiria amalize standard seven ugundue hajui kusoma na kuandika.
By the way hawezi kuumbuliwa na mtihani wa taifa she's doing it well.
 
Hivi nimekaa nimejiuliza,

Hawa watoto wanaosoma shule za wenye hela/Kulipia. Kila siku wanapewa home work na hata ukiwauliza wengi wanategemea msaada wa wazazi katika kufanya hizo home work.

Sasa nataka kufahamu hizo Ada wazazi wanazolipa na wao mnawalipa mshahara? Maana ndiyo wanafanya kazi kubwa pia huku nyumbani
kwa swala la elimu nijuavyo mimi mwalimu anamwezesha mwanafunzi kwa 25% tu mzazi naye ana 25% hapo ni kumsimamia homework pia na hamsini zilizobaki ni mtoto mwenyewe akomae...
 
Kuona maendeleo ni tofauti na kumfanyia homework. Unakuta mtoto class work kapata ila homework zote zimemshinda. Mzazi ndo anaanza kumfundisha upya mtoto ili aweze kufanya homework zake. Sasa hapo ada ya mamilioni mzazi analipa ya nini?
Huo ndiyo ukweli
 
Haya mambo hayaaa

Mie na jamaa Yangu kasoma nje huko,karud bongo hata ajira hatak maana ungese yeye anapiga hela tu akiwa ndan na laptop take

Yan anawafanyia assignment, project nk watu wanao soma huko nje..na yupo vzur sana

.sasa mie huwa namuuliza mala kwa mala HV ukifanyia MTU final project ana represent VP??

Yaan hao wanasoma nje n km anawasomea vile??

Na watu wanapasua wanakuja bongo nakijigamba wamesoma nje,usishangae hao wtt walikuwa wanakuja kuwa maboss wako na while wamesomewa maana wenge n wtt wamatajir
 
Back
Top Bottom