Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Sasahivi sioni tofauti ya mtu alisoma na asiye soma.
Hawa wasomi wamekuwa watu wa hovyo sana.afadhali asiyesoma, hana stress, anapiga his/her own business, kilimo, maisha yanakwenda..
Hawa wasomi wamekuwa watu wa hovyo sana.
Wababishaji kupita kiasi.Sanaaa... hata nafsi zao na wanayotamka zinawasuta..
hizi hatua hizi, siwazitumie kupima viwanja na mashamba, sasa huku maofisini mwishowe zitatutoa nje.kilasiku Ni kuchukuliana hatua!! Woiii vitisho vinachosha asee hii nchi bhana