Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Serikali imedai imegundua kuna wanafunzi wengi wamedanganya ni watoto wa masikini na itawasaka na kuwachukulia hatua za kisheria
Hayo yamesemwa na naibu katibu mkuu wizara ya elimu profesa Simon Msanjila
Pia vyuo vinavyodahili wanafunzi wa viwango vya chini vitachukuliwa hatua