Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,721
- 3,164
kwel ase,Sema hakuna pesa za kuwapa mikopo watoto wa akulima na sio kutafuta kick ya kutokea. Nchi hii bwana kila mahali ni siasa tu.
kwel ase,Sema hakuna pesa za kuwapa mikopo watoto wa akulima na sio kutafuta kick ya kutokea. Nchi hii bwana kila mahali ni siasa tu.
Mimi ni mwanafunzi WA chuo na unayosema yamenikuta kwasababu nili Soma private secondary lakn wakati nimemaliza wazazi wangu wote wawili walikuwa wastaafu. Nilichaguliwa course yenye kipaumbele wakat huo yaan engineering lakini nilipewa hela ya kujikimu tu na sina ada hadi sasaNaomba mnieleweshe wakati mwanangu anasoma o'Level nilikuwa na kaz,na nilikuwa namsomesha private,Advance akasoma ya privet kwakuwa sikuwa na pesa now yuko udsm hajapata mkopo na mm sina ajira je wanfu ni mtoto wa fukara au wa mwenye uwezo?
kwa nini udanganye?halafu tunalalamika watu wamekosa mikopo,kumbe hela wamekopa wasiostahili
Kama una baba na mama wanafanya kazi hustahili kukopeshwa