Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Hili ni tukio baya sana....
Lakini inatakiwa ijulikane mazingira aliyobakwa mwalimu huyo, je ni gest, nyumbani kwake, nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa, shambani.....na mambo kama hayo!
.....vijana wengi wa sekondari wanakuwa wanabalehe hivyo wanakuwa na ukame wa ajabu si vizuri mwanamke akawa karibu nao hasa kama si ndugu yao....
...pole mwalimu...
Lakini inatakiwa ijulikane mazingira aliyobakwa mwalimu huyo, je ni gest, nyumbani kwake, nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa, shambani.....na mambo kama hayo!
.....vijana wengi wa sekondari wanakuwa wanabalehe hivyo wanakuwa na ukame wa ajabu si vizuri mwanamke akawa karibu nao hasa kama si ndugu yao....
...pole mwalimu...