wanafunzi wakataliwa chuo kikuu dodoma

wanafunzi wakataliwa chuo kikuu dodoma

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
951
Reaction score
412
habari zenu wakuuu,,,,

inasikitisha saana kuona watoto wanafika chuoni na kukataliwa kuwa hawatambuliki, hii ni baada ya wanafunzi waliochaguliwa kupitia nacte kutokutambulika na uongozi wa chuo kikuu dodoma.

nauliza ni kwanini nacte mnawatesa watoto kiasi hiki kwakutopeleka majina chuoni leoo hii wanataka kuandamana katika ofisi zenu kuja dar,

mheshimiwa raisi dk magufuli naomba uangaliee hili swala kwa umakini maana watoto wameshakata tamaa kabisaaa, nina imani mtawaskiliza kilio chao na haki zao wapatiwe.

kazi njema,.
 
kwen walivyokuwa wakiunga mstari kupiga kura walijua nifolen ya kuingia class ama HAPA KAZI TU
 
Mbona taarifa zinasema, UDOM wanafungua chuo November 21!
Hebu fafanua
 
habari zenu wakuuu,,,,

inasikitisha saana kuona watoto wanafika chuoni na kukataliwa kuwa hawatambuliki, hii ni baada ya wanafunzi waliochaguliwa kupitia nacte kutokutambulika na uongozi wa chuo kikuu dodoma.

nauliza ni kwanini nacte mnawatesa watoto kiasi hiki kwakutopeleka majina chuoni leoo hii wanataka kuandamana katika ofisi zenu kuja dar,

mheshimiwa raisi dk magufuli naomba uangaliee hili swala kwa umakini maana watoto wameshakata tamaa kabisaaa, nina imani mtawaskiliza kilio chao na haki zao wapatiwe.

kazi njema,.

Kwani hawakukupa admission letter???
Duuh kazi kwel kwel
 
Hahahaaa, hebu acheni hizo. Inasikitisha kiukweli...kama walikuwa na muda wao wa kuripoti wangetaarifiwa... Nani tumlaumu? NACTE au UDOM....
 
Hahahaaa, hebu acheni hizo. Inasikitisha kiukweli...kama walikuwa na muda wao wa kuripoti wangetaarifiwa... Nani tumlaumu? NACTE au UDOM....
nacte ndo wazogoaji.... mudaa wootee siku zimedogezwa mbelee kushughulikiaaa, michakato walaaa wenyewe kusoma magazeti ofisini tu, mheshiwa naomba utembelee ofisi zao
 
Kwani hawakupewa admission letter?
 
Kwan waliona majina yao katika batch yeyote...?

Kama hawakuona ilibd wasubirie au wangewasiliana na nacte
 
Kwani hawakupewa admission letter?

admsion letter za udom mpaka majina yaletwe kutoka nacte ndo unazipata,,, hivyoo saaasa kutoka na kuwepo kwa ubovu wa mawasiliano kati ya nacte na udom ndo leoo hii watoto wanapata tabuu kwenye miji yawatu
 
nov 21 ni kwa continous students,

Mkuu bora ungeandika tu kwa kiswahili,
hivi siku hizi vijana mna andika nini...?
kuna mwingine naye nilimsikia juzi kwenye
taarifa ya habari akisema kama ulivyoandika
pale ofisi za HESLB maeneo ya mpakani.
yaani nilichoka kweli kweli , yaani msomi
wa chuo kikuu una jiita kuwa wewe ni "continous student"
shame on u.
 
hao madogo wanajichanganya utaendaje chuo bila admission letter? ilitakiwa wawe na admission letter Ndio unapokelewa na hutolewa automatic kwenye website ya chuo na kama hujapata unapiga simu chuo ili waweze kuiruhusu na kutoka.
Kama walikimbilia chuo wanafikili na advance itakula kwao kwa sababu hawapewi kitu chochote hapa chuo
 
Mkuu bora ungeandika tu kwa kiswahili,
hivi siku hizi vijana mna andika nini...?
kuna mwingine naye nilimsikia juzi kwenye
taarifa ya habari akisema kama ulivyoandika
pale ofisi za HESLB maeneo ya mpakani.
yaani nilichoka kweli kweli , yaani msomi
wa chuo kikuu una jiita kuwa wewe ni "continous student"
shame on u.

kwa alieuliza swali ameelewa na amejua, ila kwa punguani kama wewe unakalia kukosoa ujinga tu, No one is perfect sawa sawaaaa???
 
Back
Top Bottom