Uislamu hauna tatizo lolote, tuonyeshe hilo "tatizo".Kuna tatizo ndani ya uislam wenyewe.
Uislamu hauna tatizo lolote, tuonyeshe hilo "tatizo".Kuna tatizo ndani ya uislam wenyewe.
Malalamiko mengine ya kipuuzi sana kama wanalalamika wakristo kusoma bible knowledge ijumaa wakati wao wanakwenda kuswari kwani kuna mwislamu anafanya mtihani wa bible knowledge? Pili unaweza kufananisha vipi uvaaji wa rozari kwa wakristo na kanzu, barakashia kwa waislamu? Tatu tatizo liko wapi kwa mwanafunzi kuvua hijabu kwa dakika3 ili apigwe picha kwa ajiri ya form za shule mbona huwa tunawaona wakiwa hawana hijabu mitaani baada ya masomo.