Muongo!!Waziri wa elimu sayansi n.a. teknolojia prof. Joyce Ndalichako ametangaza rasmi kua serikali imewarudisha wanafunzi 382 Kati is 7882 UDOM kua hao ndo wamekidhi vigezo vya kua pale kwa kupata daraja n.a. kwanza hadi la tatu n.a. kufaulu masomo ya science huku ikiwaondoa wote wasio n.a. sifa n.a. vilevile kuwapangia wengine vyuo vya butimba n.a. kleruu n.a. kuwaagiza wajisomeshe kwa guarana zao wenyewe
wewe sema jamaa muongo sasa utazinduka ukiona jina lako halimo kabisa!!!Muongo!!
Kumbe na wewe ni wale wale!wewe sema jamaa muongo sasa utazinduka ukiona jina lako halimo kabisa!!!
Rudi kwanza ujifunze kuandika.Subiri usiwe n.a. pupa wala usikurupuke subiri info kamili leo kwenye habari
Wangesema ukwel mapema kama hawana mikwanja sio kuwaangaisha watoto wa watu.Waziri wa elimu sayansi n.a. teknolojia prof. Joyce Ndalichako ametangaza rasmi kua serikali imewarudisha wanafunzi 382 Kati ya 7882 UDOM kua hao ndo wamekidhi vigezo vya kua pale kwa kupata daraja la kwanza hadi la tatu na kufaulu masomo ya science huku ikiwaondoa wote wasio na sifa na vilevile kuwapangia wengine vyuo vya butimba na kleruu na kuwaagiza wajisomeshe kwa gharama zao wenyewe
Ndio matatzo ya wa tz hayo.hao 380 ni wale wanaobaki udom then hao wengine wamepangwa vyuo vya serikal au unatak nikulrtee link udawn lod usiprnd kuchukua habri juu juu kama demu
Demu nani we m.se.nge kwani hukuona hapo nimeandika wengine wamepangiwa vyuo vya butimba n.a. kleruu we ndo unakurupuka soma post nzima umalize fala wewehao 380 ni wale wanaobaki udom then hao wengine wamepangwa vyuo vya serikal au unatak nikulrtee link udawn lod usiprnd kuchukua habri juu juu kama demu
achakupotoxha watu nanii ajixomexhe watu banaWaziri wa elimu sayansi n.a. teknolojia prof. Joyce Ndalichako ametangaza rasmi kua serikali imewarudisha wanafunzi 382 Kati ya 7882 UDOM kua hao ndo wamekidhi vigezo vya kua pale kwa kupata daraja la kwanza hadi la tatu na kufaulu masomo ya science huku ikiwaondoa wote wasio na sifa na vilevile kuwapangia wengine vyuo vya butimba na kleruu na kuwaagiza wajisomeshe kwa gharama zao wenyewe