Harnandez
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 408
- 344
Waziri wa elimu sayansi n.a. teknolojia prof. Joyce Ndalichako ametangaza rasmi kua serikali imewarudisha wanafunzi 382 Kati ya 7882 UDOM kua hao ndo wamekidhi vigezo vya kua pale kwa kupata daraja la kwanza hadi la tatu na kufaulu masomo ya science huku ikiwaondoa wote wasio na sifa na vilevile kuwapangia wengine vyuo vya butimba na kleruu na kuwaagiza wajisomeshe kwa gharama zao wenyewe