Wanafunzi wa kiislam na Haki ya Kuabudu

kanisa livunjwe kwani limejengwa na serikali?mtazamo wa tukose wote simply because wewe hauna ni mtazamo finyu sana.wajaribu kuomba eneo kama litakuwepo wajenge wenyewe lakini kwa serikali kuwajengea NO!,kumbe ndiyo maana walitaka mahakama ya kadhi iendeshe kwa fedha za serikali wanapenda mambo ya dezo dezo,au kama uwezo wao unaishia kununua spika wafanye mpango na mtoto wa gadafi awajengee kabla hajafanyiwa kitu mbaya!

mi wananipa hasira ajabu. Eti wajengewe msikiti, hawa watu washari kweli mungu angewapa sayari yao, aaaah
 
Kama hamtakazana kusoma elimu dunia msahau kabisa, mfume kristo utabaki milele, hauwezi kuutoa huu mfumo kwa kupoteza muda kuandamana, pigeni shule mambo yenu yatanyoka, wakristo karibu wanajaza nchi kwa kujenga vyuo vikuu na taasisi nyingine nyeti, nyie mnapigania nyumba za kuabudu mashuleni ambako madawati na vitabu ni adimu, aggggh mi napata degedege sasa.

usipoteze muda wako hata ukiwambia hawaelewi wala hawaoni.
 
unakosea, ili kubalance, shule irudishwe kwa wenye kanisa lao. Thats balance. Kama waislam wakijengewa msikiti, je walutheri? Je wapentekoste?

mmmh ninliy hutabarikiwa kamwe kwa kupenda dezo dezo fanya kazi jenga msikiti wako kwani kanisa lilijengwa na serikali ??!..., IRUDISHE AKILI YAKO KAMA BADO IKO LIKIZO mwez mrch huu.
 
Tatizo la vijana wa siku hizi ni kutojua sababu iliyowapeleka shule. Hawajui kuwa wamekwenda kule kusoma. Pili udiniunaingia kwa kasi nchini inabidi hali hii idhibitiwe.
 
Acheni uzusho hao wanafunzi hawajadai msikiti nyie maka*************fir
Hulka zenu mi kubadili mada
Mnajidai mmesoma elimu imewasaidia nn bado dhulma kila idara. Mmesoma kufisadi mchii hio imani gani za kilokold unakula rushwa kwa kwenda mbele

Mm elimu yangu darasa la saba lakini nategemewa na. Wasio waisilamu zaidi ya 200 hii nchi mnataka kuingiza shimoni
Acheni dharau mnajiona mpo juu sana
 
Tatizo la vijana wa siku hizi ni kutojua sababu iliyowapeleka shule. Hawajui kuwa wamekwenda kule kusoma. Pili udiniunaingia kwa kasi nchini inabidi hali hii idhibitiwe.

sio wao ni sumu wanazopewa na sheikh Ilunga na mtu kama mzee said
 
Back
Top Bottom