Wanafunzi wa kiislam na Haki ya Kuabudu

kwani wakijengewa msikiti/wakijenga msikiti karibu na shule ni kosa? mbona shule znyingi za serikali zilizokuwa za dini zina misikiti ndani au karibu na shule? i dont see any problems here for them to have labda kama kuna behind the window reasons lakini nina uhakika headmaster hawezi kufukuza wanafunzi kisa wameomba kujengewa nyumba ya ibada kutakuwa na reason nyingine ambayo hawa wanafunzi watakuwa wamefanya

Umemuelewa mtoa mada??
Haikatazwi kujenga ila kwa wahusika na sio sekali kwan serekali haina DINA. Then full stop
 
hela wazitoe wapi?hilo ni jukumu la serikali inatakiwa ibalance!kwavile lipo kanisa na msikiti lazima uwepo.kila mmoja awe na uhuru wa kuabudu.....!

Kwani serikali ilijenga kanisa hadi itakiwe kubalance? Sababu dhaifu kabisa! Wakristo wamejenga kanisa wenyewe, waislamu pia wajenge! Hiyo ndio balance
 
HONGERA MH. SHUKURU KAWAMBWA...
picha 2.JPG


TUNAJUA WALE WA
MFUMO WAMECHUKIA LAKINI "NO WAY OUT"
picha 8.JPG
 
Mtasema sana lakini ukweli utabaki palepale kuwa "HATUTAKI MFUMO KRISTO"

Kinaeleweka unachoongea. Ukikaribishwa kwenye nyumba ya mtu inabidi ukae kwa kufuata sheria za nyumba hiyo. La sivyo tafuta kiwanja ili ujenge yako. Tatizo liko wapi?
 
madarasa hayatoshi, waalimu hawatoshi, vitabu havitoshi, leo tena serikali itwishwe mizigo ya kujenga misikiti na makanisa. Huu ni ufinyu wa kufikiri. Basi hiyo hiyo serikali tuibatize au tuisilimishe ili tuiongezee majukumu haya mapya. litawezekana kwa serikali zilizochagua dini kama arabuni au scotland na siyo Tanzania.

Kitakachofuata ni kwamba shinikizo litakuja la kutaka vitabu vya dini visambazwe mashuleni, mashehe na mapadri wasomeshwe na serikali na baadae mishahara walipwe na serikali hiyo hiyo.
 
Ukiangalia utaratibu wa kutaifisha shule miaka hiyo baadhi alitaifisha shule tu, viwanja havikutaifishwa, hati ya kiwanja unaweza kukuta bado ni ya kanisa. Nafahamu baadhi ya shule za serikali ambazo zipo kwenye viwanja vya kanisa. Tuliangalie hili kwa mapana yake nadhani suala liwe haki ya kupata sehemu ya kuabudu lakini kujenga nyumba ya ibada hata wakijichangisha inaweza kuwa ngumu
 
Mtasema sana lakini ukweli utabaki palepale kuwa "HATUTAKI MFUMO KRISTO"

Kama hamtakazana kusoma elimu dunia msahau kabisa, mfume kristo utabaki milele, hauwezi kuutoa huu mfumo kwa kupoteza muda kuandamana, pigeni shule mambo yenu yatanyoka, wakristo karibu wanajaza nchi kwa kujenga vyuo vikuu na taasisi nyingine nyeti, nyie mnapigania nyumba za kuabudu mashuleni ambako madawati na vitabu ni adimu, aggggh mi napata degedege sasa.
 
ninapo kaa kuna miskiti 4 saa 11alfajiri wanaanza kufukuza swalaah nawashauli wachague msikiti 1 wafunge sound ya kutosha wawaamshe wateja wao kuliko haya makelele ya asubuhi mchana jioni na usiku, shuleni watege alarm muda ukifika wanaenda ku swaali
 
Ukitaka kujua rangi halisi na kile ambacho kimejificha nyuma ya pazia hapa ukumbini wewe weka mada kama hizi tuuu! Bila ya hata kua na aibu wenyewe utawanasa tu!
 
hela wazitoe wapi?hilo ni jukumu la serikali inatakiwa ibalance!kwavile lipo kanisa na msikiti lazima uwepo.kila mmoja awe na uhuru wa kuabudu.....!

unakosea, ili kubalance, shule irudishwe kwa wenye kanisa lao. Thats balance. Kama waislam wakijengewa msikiti, je walutheri? Je wapentekoste?
 
Hapo inabidi yale maspika yapangiwe muda wa kupiga kelele ama sivyo concentration itakuwa zero...! Ila hata wakipangiwa muda wa kupiga kelele watalalamika wanaonewa!

Na pale muslim university-morogoro na penyewe pajengwe msikiti. hawa jamaa wana agenda ya siri tangu enzi za mwinyi. Ni wabaguzi hakuna mfano.
 
Madarasa hayatoshi, waalimu hawatoshi, vitabu havitoshi, leo tena serikali itwishwe mizigo ya kujenga misikiti na makanisa. Huu ni ufinyu wa kufikiri. Basi hiyo hiyo serikali tuibatize au tuisilimishe ili tuiongezee majukumu haya mapya. litawezekana kwa serikali zilizochagua dini kama arabuni au scotland na siyo Tanzania.

Kitakachofuata ni kwamba shinikizo litakuja la kutaka vitabu vya dini visambazwe mashuleni, mashehe na mapadri wasomeshwe na serikali na baadae mishahara walipwe na serikali hiyo hiyo.
 
Kama hamtakazana kusoma elimu dunia msahau kabisa, mfume kristo utabaki milele

Labda nikujulishe kuwa kwa upande wa elimu tumeamka sana ndo maana hata idadi ya wasomi waislamu katika vyuo vikuu imeongezeka.

hauwezi kuutoa huu mfumo kwa kupoteza muda kuandamana.

Maandamano ni nyenzo muhimu sana katika kukemea maovu ndo maana hata vyama vyetu ya kisiasa hutumia sana maandamano katika kufikisha ujumbe.

Hata vyama vya kijamii na madhehebu ya dini pia hutumia maandamano kukemea au kusifia mamlaka husika.

Mfano ni kule Misri, wakristo waliandamana kudai haki sawa na kushinikiza utawala wa kijeshi kutoa madaraka kwa wananchi.
egypt-christian.jpg
9k=
images


SOURCE:
Egyptian Christians in L.A. Demonstrate Against Religious Persecution

wakristo karibu wanajaza nchi kwa kujenga vyuo vikuu na taasisi nyingine nyeti..

Hakuna mwislamu hata mmoja atashagaa maendeleo ya wakristo kielimu na kijamii kwakuwa tunatambua uwepo wa MOU kati ya serikali ya Tanzania na Kanisa Katoliki.

Hivyo tunafahamu kabisa kuwa kodi zetu (wananchi) ndo zinalipia maendeleo yenu na hilo liko wazi.
 
we umewafanyia hiyo interview?hebu jaribu uone kama kweli........
Naungana na mtoa mada hapo juu kuwa adui yenu hamjamjua bado... Maana wewe kwako adui wa muislamu ni MoU, na kuna mmoja humu kasema kanisa la ndanda livunjwe, kwa hiyo kwake kanisa likivunjwa basi adui atakuwa kafa. Nina uhakika wakifanyiwa interview waislamu 20 katika kutafuta jibu la nani adui wa uislamu, majibu utayashangaa
 
Hapo inabidi yale maspika yapangiwe muda wa kupiga kelele ama sivyo concentration itakuwa zero...! Ila hata wakipangiwa muda wa kupiga kelele watalalamika wanaonewa!

Ficha upumbafu wako ww unaona kelele za adhan na hizo za kengele huzionono kweli maka********firi mna:confused:chuki
 
Kwani serikali ilijenga kanisa hadi itakiwe kubalance? Sababu dhaifu kabisa! Wakristo wamejenga kanisa wenyewe, waislamu pia wajenge! Hiyo ndio balance

ninliy., where is your brain !!???.., unawaza vurugu tu kuvunja makanisa !!. Si na waislam wajenge msikiti. Dammnnn slow thinker.
 
Back
Top Bottom