- Thread starter
- #21
acha uzezeta na ukichwa maji, wewe usiyejua kusoma maana inaonekana hauna utofauti na hao jamaa walikuwa wamejaa kwenye feri bila kujua nini kitatokea mbeleniUsitetee uzezeta. Kichwa cha habari na habari yenyewe kifo na usingizi ukiachia mbali kujikanyaga. Kuna nini la lipi hapa gumu la kutafuniwa. Jaribu kupitia maoni yote uone ulivyochemsha hata kama uking'aka vipi mwanangu Mwanaweja.