Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
na pia jeshi la police limulike sana eneo la kigamboni pilice hawana kazi yakufanya kule wamekalia wizi na rushwa tu mbunge wa kigamboni uko wapi wewe ndugulile hamna haki kule ,nakiri kwamba pilice wanawajua sana hao wezi na wakitaarifiwa hawaendi hata kwa dawa ,police waseme wazi wao wanawalinda kina nani,kule ninakoishi mimi tumewaua sana navosikia aliuawa mpaka mtoto wa mkuu wa kituo cha bunju na wananchi wakamnyanganya bastola kumbe ile dili ilikuwa ya police wamekuja pale wakaanza kuwalaumu wananchi kwa nini wamemuua mtoto wa police mwenzao ,toka siku ile kule kwetu mwizi anauawa ndiopo tunamwita police aje kuchukua mzigo wake.na watu wamejikoki ukikamatwa hutoki nakwambia na imepunguza sana ujambazi maana ilikuwa wanapitia hata nyumba saba kwa siku moja ,watu wakaend wanunulia silaha tumefanikiwa kuwaua wengi tu.Alivamiwa jirani yangu akawa na namba za police kuwapigia wakapokea wanamwambia tukija huko kuna maji ya kunywa akawaambia hamna hawakwenda wajamaa wakamwibia power window za gari lake.point safi sana..