Jana kama wengi wetu tuliamka salaama sana nakuenda kwenye mishe mishe za maisha kama kawaida. Lakini kunamdau alitupa taarifa ya kilichokuwa kinaendelea IFM. Tunashukuru kwa taarifa. Na baadaye niliona kwa macho kwenye ITV taarifa ya saa 2 usiku wanafunzi walivyokuwa wamefunga barabara na kuingia kwenye feri zaidi ya wanafunzi 600. Kweli ummoja ulinipa matumaini sana lakini cha ajabu ni pale nilipoona wanafunzi walipoanza kutembezewa mkong'oto na polisi hadi wengine kutemebelea magoti. Niliona ajabu sana tena nilitokwa na machozi hadi naandika hapa sijalala nikifikiria jinsi ya kuwasaidia hawa wadogo zetu aka waliokimbia hand education nakuingia kwenye soft education. fuatilia post zangu hapa
kwanini nasema hawa jamaa walikimbilia kwenye soft education kwa kuwa wao akili zao zinawaza sana kuwa karibu na fedha ndio maisha. Lahasha mimi siamini, lakini cha ajabu zaidi hawa wataalam wa balance sheet akili zao zote nazani zimekaa kubalance zaidi nje ya kufikiria nini cha kufanya hata kwenye jambo ambalo ni ngumu kwenye maisha yao. Pengine naungana na mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Msingwa wameruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa. Hii halina ubishi kwa chuo kama IFM chukulia jana tu walivyokuwa wameng'ang'ania kwenye feri zaidi ya wanafunzi 600 lakini bila kujua kuwa mbele au feri ilkuwa kwenye maji (bahari).Je kweli waliona madahara ambayo yange wapata? na matokeo yake shemeji zao aka polisi waliwakamua kama hawana akili nzuri maana hawakuwa na pakukimbilia.
kwa nini nasema hivyo? Je, wazazi walio na watoto wao wakiume/wakike wanao rawitiwa, kubakwa, na pengine kupigwa nondo unazani wanajisikiaje kusikia matukio kama haya? Je, IFM hakuna wazazi walio olewa/kua. hakuna wachumba wanaosoma pale wakiwa na wenza wao nje ya chuo? Je, akisikia kuna mambo kama haya je, jamii inawachukuliaje? sipendi kuamini kama mimi hapa nilivyo na huzuni ila ninaimani ni wengi sana tena mamia ya watanzania wanahuzuni kama mimi hapa kutokana na nilichokiona jana na kukisika masikioni mwangu. Swali, Je, tunaandaaa jamii ya aina gani on the future?
mimi sio mwanataalum wa uandishi naomba niende kwenye point. Kwanza kabla sijaja kwenye nini kifanyike naomba tu kama kuna mzazi/mlezi/mchumba/mme/mke/kaka/dada/mjomba nk. humu anamtoto yuko IFM basi kuna haja ya kuniunga mkono wale watoto walitakiwa kuchapwa viboko kama sio kibao. Kwa nini nasema hivyo? Chukulia sisi tulikuwa tunasoma Mbeya Technical college (MTC) miaka ya nyuma huko leo hii Mbeya University of Science and Technology (MUST). Sikuweza kuona ujinga kama huu, hata pale UDSM, sijawahi sikia ujinga kama huu. sikatai vibaka wapo sawa kila sehemu ya nchi yetu kama si Afrika kwa ujumla.Mwanataluma nijuavyo mimi ni askari kwa akili aliyonayo anaweza fanya upeleleza, anaweza kujilinda yeye kama yeye, anaweza fundisha jamii kutoka na taaluma yake? Je, kwa kinachotokea IFM twaweza pata nini sisi wanajamii? ni maadili au? sinakumbukumbu sana kama sijakosea hata mwezi haujapita nilisikia redioni watoto wakike wanaandamana kupinga kuzuiliwa kuvaa nguo fupi sijui ni IFM au nichuo kingine lakini kumbukumbu zangu ni kama IFM leo hii ndio wanakuja na ujinga kama huu kuna haja yakubaidilika kabisa kiakili, maadili hata kimuonekano.
Sisi kipindi kile tunasoma pale MTC tulikuwa na ummoja wa hali ya juu sana ninaimani kama kuna wanaMTC humu watakubaliana na mimi haswa wa miaka ya nyuma sio leo. Chuo cha MTC kiko kama 4km kutoka Inyunga barabara ya mbeya Tunduma nakiko nje ya mji yaani kwa kifupi naweza sema ni porini. lakini sijawahi sikia mwanafunzi kapingwa nondo, kabakwa, karawitiwa. wizi wa kuibiwa kwenye mabweni ulikuwa wa nadra sana tena wezi walikuwa wanashiirkiana na wanafunzi wenzetu. Lakini ninakwambia hata kama suruali au kiatu kimeibiwa zaid ya mwezi kilikuwa kinapatiaka kwa njia nitakazo zitaja hapo mbeleni.
kwanini nasema hawa jamaa walikimbilia kwenye soft education kwa kuwa wao akili zao zinawaza sana kuwa karibu na fedha ndio maisha. Lahasha mimi siamini, lakini cha ajabu zaidi hawa wataalam wa balance sheet akili zao zote nazani zimekaa kubalance zaidi nje ya kufikiria nini cha kufanya hata kwenye jambo ambalo ni ngumu kwenye maisha yao. Pengine naungana na mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Msingwa wameruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa. Hii halina ubishi kwa chuo kama IFM chukulia jana tu walivyokuwa wameng'ang'ania kwenye feri zaidi ya wanafunzi 600 lakini bila kujua kuwa mbele au feri ilkuwa kwenye maji (bahari).Je kweli waliona madahara ambayo yange wapata? na matokeo yake shemeji zao aka polisi waliwakamua kama hawana akili nzuri maana hawakuwa na pakukimbilia.
kwa nini nasema hivyo? Je, wazazi walio na watoto wao wakiume/wakike wanao rawitiwa, kubakwa, na pengine kupigwa nondo unazani wanajisikiaje kusikia matukio kama haya? Je, IFM hakuna wazazi walio olewa/kua. hakuna wachumba wanaosoma pale wakiwa na wenza wao nje ya chuo? Je, akisikia kuna mambo kama haya je, jamii inawachukuliaje? sipendi kuamini kama mimi hapa nilivyo na huzuni ila ninaimani ni wengi sana tena mamia ya watanzania wanahuzuni kama mimi hapa kutokana na nilichokiona jana na kukisika masikioni mwangu. Swali, Je, tunaandaaa jamii ya aina gani on the future?
mimi sio mwanataalum wa uandishi naomba niende kwenye point. Kwanza kabla sijaja kwenye nini kifanyike naomba tu kama kuna mzazi/mlezi/mchumba/mme/mke/kaka/dada/mjomba nk. humu anamtoto yuko IFM basi kuna haja ya kuniunga mkono wale watoto walitakiwa kuchapwa viboko kama sio kibao. Kwa nini nasema hivyo? Chukulia sisi tulikuwa tunasoma Mbeya Technical college (MTC) miaka ya nyuma huko leo hii Mbeya University of Science and Technology (MUST). Sikuweza kuona ujinga kama huu, hata pale UDSM, sijawahi sikia ujinga kama huu. sikatai vibaka wapo sawa kila sehemu ya nchi yetu kama si Afrika kwa ujumla.Mwanataluma nijuavyo mimi ni askari kwa akili aliyonayo anaweza fanya upeleleza, anaweza kujilinda yeye kama yeye, anaweza fundisha jamii kutoka na taaluma yake? Je, kwa kinachotokea IFM twaweza pata nini sisi wanajamii? ni maadili au? sinakumbukumbu sana kama sijakosea hata mwezi haujapita nilisikia redioni watoto wakike wanaandamana kupinga kuzuiliwa kuvaa nguo fupi sijui ni IFM au nichuo kingine lakini kumbukumbu zangu ni kama IFM leo hii ndio wanakuja na ujinga kama huu kuna haja yakubaidilika kabisa kiakili, maadili hata kimuonekano.
Sisi kipindi kile tunasoma pale MTC tulikuwa na ummoja wa hali ya juu sana ninaimani kama kuna wanaMTC humu watakubaliana na mimi haswa wa miaka ya nyuma sio leo. Chuo cha MTC kiko kama 4km kutoka Inyunga barabara ya mbeya Tunduma nakiko nje ya mji yaani kwa kifupi naweza sema ni porini. lakini sijawahi sikia mwanafunzi kapingwa nondo, kabakwa, karawitiwa. wizi wa kuibiwa kwenye mabweni ulikuwa wa nadra sana tena wezi walikuwa wanashiirkiana na wanafunzi wenzetu. Lakini ninakwambia hata kama suruali au kiatu kimeibiwa zaid ya mwezi kilikuwa kinapatiaka kwa njia nitakazo zitaja hapo mbeleni.