mosescharles
Member
- Sep 11, 2018
- 5
- 1
Tarehe 25/08/2018..wanafunz wa kiume wa ADVANCE wote katika shule ya Sekondari DAREDA Babati Manyara.. Walifukuzwa shule kwa sababu ya kudai kuwa waligoma au waliendesha mgomo siku iyo ya sikukuuu ya Eid El Hajj ambapo walidaiwa kuingia darasan kama siku nyingine na kuwaacha waislam na sikukuuu yao..
Lakin baada ya kudai kuongea na mkuu wa shule hiyo aliwaijia juu na kutaka kuwapiga kwa kuita walimu wote na kuagiza vboko vya kutosha.. Ndipo walipoamua kukimbia na kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa manyara.. Na Kuna wengine tisa ambao ilidaiwa kuwa viongozi wa mgomo huo wako kweny hatihati ya kufukuzwa shule..
Sasa sijui njia gan ilitumika kuwajadili wanafunzi hao kama viongozi
Lakin baada ya kudai kuongea na mkuu wa shule hiyo aliwaijia juu na kutaka kuwapiga kwa kuita walimu wote na kuagiza vboko vya kutosha.. Ndipo walipoamua kukimbia na kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa manyara.. Na Kuna wengine tisa ambao ilidaiwa kuwa viongozi wa mgomo huo wako kweny hatihati ya kufukuzwa shule..
Sasa sijui njia gan ilitumika kuwajadili wanafunzi hao kama viongozi