SIMONBICHWA S
Member
- Jan 1, 2011
- 11
- 0
Katika kile kinachosemwa ni kutofurahishwa na namna jeshi la polisi linavyoikanyagakanyaga misingi ya Demokrasia,wasomi udom wanajiandaa kuitwangia serikali waraka wenye kurasa 100 kuilaumu.
Tetesi hizo zimeibuka mara jeshi la polisi kupitia IGP MWEMA kuyazuia maandamano ya CHADEMA kwa kile alichokiita taarifa za Kiintelijensia kuwa kungekuwepo na uvunjifu wa amani.
Hata hivyo uongozi wa serikali ya wanafunzi hao UDOSO umekanusha madai hayo na kudai kuwa kama kuna watu wanataka kufanya hivyo ni matakwa yao na siyo ya wanafunzi wa udom.
Tetesi hizo zimeibuka mara jeshi la polisi kupitia IGP MWEMA kuyazuia maandamano ya CHADEMA kwa kile alichokiita taarifa za Kiintelijensia kuwa kungekuwepo na uvunjifu wa amani.
Hata hivyo uongozi wa serikali ya wanafunzi hao UDOSO umekanusha madai hayo na kudai kuwa kama kuna watu wanataka kufanya hivyo ni matakwa yao na siyo ya wanafunzi wa udom.