Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Sep 7, 2009 #1 Habari tulizozipata sasa hivi zinasema kuwa wanafunzi wa shule ya secondary ya Tabata wameangukiwa na ukuta wa shule hiyo, habari zaidi za majeruhi na vifo kama vipo, tutawaletea tukitoka sehemu ya tukio.
Habari tulizozipata sasa hivi zinasema kuwa wanafunzi wa shule ya secondary ya Tabata wameangukiwa na ukuta wa shule hiyo, habari zaidi za majeruhi na vifo kama vipo, tutawaletea tukitoka sehemu ya tukio.
M Malila JF-Expert Member Dec 22, 2007 5,149 4,674 Sep 7, 2009 #3 Magezi said: ni shule ipi hiyo? Click to expand... Tusaidie tafadhali,kuna ile ya tabata kimanga karibu na kamene na kuna ile iliyo karibu na Dar west Park. Ni ipi kati ya hizi mbili?
Magezi said: ni shule ipi hiyo? Click to expand... Tusaidie tafadhali,kuna ile ya tabata kimanga karibu na kamene na kuna ile iliyo karibu na Dar west Park. Ni ipi kati ya hizi mbili?
Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Sep 7, 2009 Thread starter #4 Malila said: Tusaidie tafadhali,kuna ile ya tabata kimanga karibu na kamene na kuna ile iliyo karibu na Dar west Park. Ni ipi kati ya hizi mbili? Click to expand... Ni ya Tabata kimanga
Malila said: Tusaidie tafadhali,kuna ile ya tabata kimanga karibu na kamene na kuna ile iliyo karibu na Dar west Park. Ni ipi kati ya hizi mbili? Click to expand... Ni ya Tabata kimanga
Mopao Josee JF-Expert Member Jul 15, 2009 280 1 Sep 7, 2009 #5 vp tupeni taarifa zaidi,tatizo lilikuwa nn?
Cynic JF-Expert Member Jan 5, 2009 5,144 1,648 Sep 7, 2009 #6 Poleni waathirika. Maana nasikia kuna mvua nyingi na mafuriko huko kwetu (Africa).
Nkamangi JF-Expert Member Mar 17, 2008 641 29 Sep 7, 2009 #7 Cynic said: Poleni waathirika. Maana nasikia kuna mvua nyingi na mafuriko huko kwetu (Africa). Click to expand... ??? unapata wapi hizi taarifa ndugu? Afrika ipi? mbona tunalalamika ukame? Au mara yako ya mwisho kupata habari za huku ni ule wakati wa El nino?
Cynic said: Poleni waathirika. Maana nasikia kuna mvua nyingi na mafuriko huko kwetu (Africa). Click to expand... ??? unapata wapi hizi taarifa ndugu? Afrika ipi? mbona tunalalamika ukame? Au mara yako ya mwisho kupata habari za huku ni ule wakati wa El nino?
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Sep 7, 2009 #8 Wakuu tujuzeni ni nini kinaendelea na ilikuwaje?
M Malila JF-Expert Member Dec 22, 2007 5,149 4,674 Sep 7, 2009 #9 Kaitaba said: Ni ya Tabata kimanga Click to expand... Ni ile iliyokuwa ikimilikiwa na wazazi?
M MzeePunch JF-Expert Member Jun 8, 2009 1,412 203 Sep 7, 2009 #10 Ni sehemu ndogo sana ya ukuta wa jukwaa lililopo shemu ya nje ya complex ya St Mary's International School Tabata. Hakuna madhara yoyote.
Ni sehemu ndogo sana ya ukuta wa jukwaa lililopo shemu ya nje ya complex ya St Mary's International School Tabata. Hakuna madhara yoyote.