Wanafunzi Tabata waangukiwa na ukuta

Kaitaba

JF-Expert Member
Jun 30, 2009
916
52
Habari tulizozipata sasa hivi zinasema kuwa wanafunzi wa shule ya secondary ya Tabata wameangukiwa na ukuta wa shule hiyo,

habari zaidi za majeruhi na vifo kama vipo, tutawaletea tukitoka sehemu ya tukio.
 
Poleni waathirika. Maana nasikia kuna mvua nyingi na mafuriko huko kwetu (Africa).
 
Poleni waathirika. Maana nasikia kuna mvua nyingi na mafuriko huko kwetu (Africa).


??? unapata wapi hizi taarifa ndugu? Afrika ipi? mbona tunalalamika ukame? Au mara yako ya mwisho kupata habari za huku ni ule wakati wa El nino?
 
Ni sehemu ndogo sana ya ukuta wa jukwaa lililopo shemu ya nje ya complex ya St Mary's International School Tabata. Hakuna madhara yoyote.
 
Back
Top Bottom