hata maji wanatuchotea. Kama hujaoa wanakupikia mchana wala hupati shida. Ualimu tena wa kijjn raha kwel kwel.
Hapa ninna gunia 20 mahind 5 marage 30 mihogo. Yote ni.
Nasubiri tuu bei
Kipindi kile kule kijijini kwetu ilikua walimu wakijenga au wakiwa na ndugu zao wanajenga basinkazi ya mwanafunzi ni kwenda kusomba tofali.... na nyumba ikiisha mnalazimika kuleta nyasi za kuezekea au majani ya migomba yaliitwa "madafa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.