Wanafunzi SAUT Mwanza: Watoa ruksa CHADEMA kuongoza nchi

Wanafunzi SAUT Mwanza: Watoa ruksa CHADEMA kuongoza nchi

Mbona mimi ni mwanafunzi wa SAUT mwanza!? Na sijatoa ruksa Chadema kuongoza!?
Badilisheni kichwa cha habari andikeni baadhi ya wanafunzi wa Saut watoa ruksa na sio wote.

Bora wewe umesema ukweli kwani umejionea mengi
unajua hawa watoto wa mama wa BAVICHA km kina Nicholaus Kilunga
wanafikiria Nchi inaongozwa kwa makelele na maandamano
Hebu waingie mitaani na waanze maisha kwa kujitafutia kazi, kwani wanadanganywa Mabadiliko yakija na ukuu wa Wilaya wataukumba,
Du wangewauliza kina Zitto, Mwigamba, Kitila na wengineo waliokuswa
manenomengi ya nini 25/Oktoba/2015 si mbali
 
Bora wewe umesema ukweli kwani umejionea mengi
unajua hawa watoto wa mama wa BAVICHA km kina Nicholaus Kilunga
wanafikiria Nchi inaongozwa kwa makelele na maandamano
Hebu waingie mitaani na waanze maisha kwa kujitafutia kazi, kwani wanadanganywa Mabadiliko yakija na ukuu wa Wilaya wataukumba,
Du wangewauliza kina Zitto, Mwigamba, Kitila na wengineo waliokuswa
manenomengi ya nini 25/Oktoba/2015 si mbali

safi sana mkuu kumbe unajitambua safi sana,ngoja sisi tujembeke tu huko
 
Mkuu Kilunga... Kwa namna hii ccm lazma watawale milele... Sasa hii thread gani sasa?!!! Eti wanafunzi watoa ruksa CDM kuongoza nchi!!!! Ukisoma ndani ni makada wa cdm pekee ndo uliowahoji na hatuna uhakika kama kweli wameyasema hayo uliyoandika!! Ni sehem ndogo sana ume-quote. Mengine yote umeweka mawazo yako!!! saut inawanafunzi wengi sana, kutuletea mawazo ya makada wawili wa cdm unasema wametoa ruksa ni siasa uchwala hazijawahi kutokea!!

Chadema, kama huyu Kilunga ni kiongozi, hana hadhi ya kuendelea kuwa na wadhifa!! Ni zero kabisa...
 
Ahsante sana kwa taarifa Mkuu Nick Kilunga, kama ningekuwa Mwanza ningefika Shuleni Nyamalango

Duu,ndio kwanza nipo hapa buseresere naelekea mwanza,nishakosa mkitano wa kihistoria,hata hivyo mungu awatangulie makamanda
 
Last edited by a moderator:
wanafunzi wa udom hawako vizuri kifikra make hakuna msomi nchi hii ambaye anawasaport ccm ambao wanamaliza pesa na lasilimali za nchi ambazo zinge tumika kuwapa mikopo chuoni then wana washabikia its a wonderful and shame on them na sasa hivi wame goma eti hawana mikopo ya kujikim miez mitatu na mafisadi wanayo ya saport yanakula butter duuuh wasomi wa nchii ni shida hongera SAUTI kwa kujitambua

Udom,nakumbuka kuna watu walishawahi kuhoji usomi wa hicho chuo
 
Hakuna mwanasiasa atakayeikomboa tanzania,,, si CCM,CDM,CUF,ACT nk.... NGUVU YAPAMOJA INAHITAJIKA KUFANYA MAPINDUZI YA KIRAIA...

Cdm ndio mkombozi wa kweli wa watanzania,hakuna zaidi
 
Mbona mimi ni mwanafunzi wa SAUT mwanza!? Na sijatoa ruksa Chadema kuongoza!?

Badilisheni kichwa cha habari andikeni baadhi ya wanafunzi wa Saut watoa ruksa na sio wote.

wewe baba yako ni mnufaika wa pesa za escro na pia umepata mkopo asilimia mia hongera huna haja na mabadiliko..
 
Atajuaje huyo wakati akili zake kaziwekea rehani?

Hata we umesoma shule ya wapi inayoruhusu sampling kati ya watu zaidi ya 3000 unachukua wawili(2)?!!!

Bado unasema akili zake kaweka rehani! Aliyeweka akili rehani ni wewe
 
Hata we umesoma shule ya wapi inayoruhusu sampling kati ya watu zaidi ya 3000 unachukua wawili(2)?!!!

Bado unasema akili zake kaweka rehani! Aliyeweka akili rehani ni wewe

Mkuu za kwangu nimewekea rehani ili khakikisha yanapatikana mageuzi ya kumkomboa mtanzania masikini anaye endelea kuibiwa kupitia wizi kama epa,richmond,escrow,lkn zako umewekea rehani kuhakikisha unaendelea kuwa mtumwa wa watwana ccm,kuendelea kuwalamba miguu ili mradi tu mkono wako uende kinywani,pole sana kijana.
 
Mkuu za kwangu nimewekea rehani ili khakikisha yanapatikana mageuzi ya kumkomboa mtanzania masikini anaye endelea kuibiwa kupitia wizi kama epa,richmond,escrow,lkn zako umewekea rehani kuhakikisha unaendelea kuwa mtumwa wa watwana ccm,kuendelea kuwalamba miguu ili mradi tu mkono wako uende kinywani,pole sana kijana.

Ujuaji mwingi ila hujui hata unachoongea!! Naomba unijibu swali langu... Kati ya watu 3000 ni sahihi kuchukua sample ya watu 2?!
 
Ujuaji mwingi ila hujui hata unachoongea!! Naomba unijibu swali langu... Kati ya watu 3000 ni sahihi kuchukua sample ya watu 2?!

Utaelewaje wakati hutaki kuelewa?kisa kuwalinda mafisadi?endelea kuwakumbatia hao mafisadi ila tambua kuwa ukombozi ndio upo karibu zaidi
 
Utaelewaje wakati hutaki kuelewa?kisa kuwalinda mafisadi?endelea kuwakumbatia hao mafisadi ila tambua kuwa ukombozi ndio upo karibu zaidi

Unaakili ndogo sana hadi naona aibu kubishana na wewe!! Kuna sehemu nimekumbatia mtu hapo!? Nataka ujibu swali!! Kama hujui, basi kuanzia leo uache kubwatuka kama mwehu...
 
Back
Top Bottom