M mtekaji Member Joined Oct 13, 2018 Posts 54 Reaction score 59 Jul 1, 2019 #1 Hiki ni chuo pendwa tangu zamani lakini mainjinia wa hapo jalalani wanakosa tenda na wanashindwa na wachina hata kujenga mitaro huku tandale
Hiki ni chuo pendwa tangu zamani lakini mainjinia wa hapo jalalani wanakosa tenda na wanashindwa na wachina hata kujenga mitaro huku tandale
Omary Ndama JF-Expert Member Joined Apr 16, 2017 Posts 3,367 Reaction score 4,072 Jul 1, 2019 #2 mtekaji said: Hiki ni chuo pendwa tangu zamani lakini mainjinia wa hapo jalalani wanakosa tenda na wanashindwa na wachina hata kujenga mitaro huku tandale Click to expand... Maprofessor wenyewe wanapaita jalalani, panaweza kutoa watu wanaojielewa kweli[emoji846]
mtekaji said: Hiki ni chuo pendwa tangu zamani lakini mainjinia wa hapo jalalani wanakosa tenda na wanashindwa na wachina hata kujenga mitaro huku tandale Click to expand... Maprofessor wenyewe wanapaita jalalani, panaweza kutoa watu wanaojielewa kweli[emoji846]
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,313 Reaction score 46,824 Jul 1, 2019 #3 [emoji23][emoji23][emoji23]..Jalalani university
jooohs JF-Expert Member Joined Jul 26, 2017 Posts 3,749 Reaction score 14,418 Jul 1, 2019 #4 Aliewaambia mpate DD na EE mkaenda vyuo vya kata sijui teifilo ,ndio wakumlaumu.
kabatimpya JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 231 Reaction score 216 Jul 1, 2019 #5 Wanakwamia jalalani