Wanafunzi Mzumbe university na Sheria mkononi.

Wanafunzi Mzumbe university na Sheria mkononi.

Mwandwanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
3,057
Reaction score
1,573
Hii ni hatari kwa wasomi....
 

Attachments

  • 1407904993373.jpg
    1407904993373.jpg
    78.8 KB · Views: 1,103
Toa taarifa kamili. Huyo ni nani na nini chanzo cha kupigwa chake? Yupo hai au ameshafariki dunia? Amepigwa na wanafunzi wa Mzumbe University waliopo chuo kipi, Mbeya, Morogoro au Dar!?

Nashukuru Mkuu.
Tukio limetokea Mzumbe University main Campus (Morogoro). Huyo kijana aliyeuwa ni kibaka,alibambwa jana akijaribu kufanya Udokozi kwenye moja ya hostel za wavulana.
 
Nashukuru Mkuu.
Tukio limetokea Mzumbe University main Campus (Morogoro). Huyo kijana aliyeuwa ni kibaka,alibambwa jana akijaribu kufanya Udokozi kwenye moja ya hostel za wavulana.

Wapigwe tu...tumechoka
 
Mzumbe zinaibiwa sana laptop na nguo mim mwenyewe nilishapata majanga ya nguo, watu wamechoka kulizwa
 
Toa taarifa kamili. Huyo ni nani na nini chanzo cha kupigwa chake? Yupo hai au ameshafariki dunia? Amepigwa na wanafunzi wa Mzumbe University waliopo chuo kipi, Mbeya, Morogoro au Dar!?

Huyo ni kibaka maarufu pale mzumbe university main campus, alikuwa hodari kwa kukwepua vitu vya wanafunzi . Leo amebambwa na kuuAwa
 
Laptop ina thamani na uhai wa mtu? Hata kama ni kibaka mkamateni mpelekeni kwenye vyombo husika vya mafunzo kuua sio dawa ya wizi sana sana mtaendeleza beef kati ya wanafunzi na raia.
 
SAUT Mwanza kuna kubaka tulimfanyia unyama zaid ya wanyama wanavyo fanyiana huko polini, tilipiga alilia mpaka alianyamaza mwenyewe.
Mzumbe zinaibiwa sana laptop na nguo mim mwenyewe nilishapata majanga ya nguo, watu wamechoka kulizwa
 
Laptop ina thamani na uhai wa mtu? Hata kama ni kibaka mkamateni mpelekeni kwenye vyombo husika vya mafunzo kuua sio dawa ya wizi sana sana mtaendeleza beef kati ya wanafunzi na raia.

Ndo basi tena kaka mkubwa kwa maana hata akipelekwa kwenye vyombo vya kisheria vya kidunia haifai tena..labda akate rufaa arudi duniani kusikiliza shauri lake..R.I.P Kaka Jambazi!
 
Mara nyingine njia hii huwa ni njia sahihi pale ambapo njia tuzijuazo kuwa sahihi zimeonyesha kushindwa. Polisi pamejaa rushwa, mahakamani ndo kabisaa. Vitu vyetu vinaibiwa wanaoiba tunapowakamata na kuwafikisha panapohusika huachiwa kwa vigezo visivyo na msingi ( kukosekana ushahidi, kufananishwa, kutoroka, yupo nje kwa dhamana, kesi yako ilitajwa mara tatu hukutokea n.k)
Bahati mbaya watu walewale warudipo mtaani hujitamba na kurudia matendo yale yale, kitendo kama hiki kifanyikapo ni salam tosha kwa wahusika kwani tukiwapelekea mnawaachia..... subirini watakaokuwa wanawaletea sisi tunamalizana nao huku huku!
 
Mara nyingine njia hii huwa ni njia sahihi pale ambapo njia tuzijuazo kuwa sahihi zimeonyesha kushindwa. Polisi pamejaa rushwa, mahakamani ndo kabisaa. Vitu vyetu vinaibiwa wanaoiba tunapowakamata na kuwafikisha panapohusika huachiwa kwa vigezo visivyo na msingi ( kukosekana ushahidi, kufananishwa, kutoroka, yupo nje kwa dhamana, kesi yako ilitajwa mara tatu hukutokea n.k)
Bahati mbaya watu walewale warudipo mtaani hujitamba na kurudia matendo yale yale, kitendo kama hiki kifanyikapo ni salam tosha kwa wahusika kwani tukiwapelekea mnawaachia..... subirini watakaokuwa wanawaletea sisi tunamalizana nao huku huku!


Sishabikii wala kuunga mkono huu utaratibu wa kujichukulia sheria mkononi wala sipingi moja kwa moja utaratibu huu wakujichukulia sheria mkononi...
Tutalalamikia ugumu wa maisha,ukosefu wa ajira na vitu vingine vyenye kufanana na hivyo,ila tunasahau jambo moja dogo sana ambalo ni la msingi kwamba ugumu/urahisi wa maisha ni mental consipiracy tu....haiwezekani utumie njia ovu na sisizofaa kwenye jamii ya kiungwana kujilainishia ugumu wa maisha!
 
duh naogopa maana maana mbele tutakuwa na kizazi cha kuuana tu. tukumbuke auae kwa upanga atakufa kwa upanga huo huo. kazi ya kuhukumu ni ya mungu pekee tukiifanya sisi hatuwezi tutakosea tu
 
Back
Top Bottom