Wanafunzi Mzumbe university na Sheria mkononi.

Wanafunzi Mzumbe university na Sheria mkononi.

Damu ya huyo kibaka itakuwa juu yao. Auae kwa upanga atakufa kwa upanga. Tumepewa amri "Usiue". Hatujaambiwa kuwa tunaruhusiwa kuua kwa sababu fulani!! Huu ni unyama tu. Comparing material things to the life of young man!!! Mngempiga sana ingekuwa fundisho kuliko mlivyoomuua. Anajifunza nini wakati kafa!!!!
Huyo ni kibaka maarufu pale mzumbe university main campus, alikuwa hodari kwa kukwepua vitu vya wanafunzi . Leo amebambwa na kuuAwa
 
Laptop ina thamani na uhai wa mtu? Hata kama ni kibaka mkamateni mpelekeni kwenye vyombo husika vya mafunzo kuua sio dawa ya wizi sana sana mtaendeleza beef kati ya wanafunzi na raia.

Ndg, nafikiri hujawahi kuibiwa ndio maana una nguvu kusema kama ulivyosema. Kijana alikuwa hatari. Naamini hata ndugu zake sasa watapumua. Bado mmoja ni mtoto wa Mwamlenga maeneo haya haya ya Changarawe, kijana huyu naye siku zake zinahesabika. Mkakati uliopo ni kusafisha vibaka Mzumbe kama ni beef na liwe beef.
 
Damu ya huyo kibaka itakuwa juu yao. Auae kwa upanga atakufa kwa upanga. Tumepewa amri "Usiue". Hatujaambiwa kuwa tunaruhusiwa kuua kwa sababu fulani!! Huu ni unyama tu. Comparing material things to the life of young man!!! Mngempiga sana ingekuwa fundisho kuliko mlivyoomuua. Anajifunza nini wakati kafa!!!!

Subiri, wengi watafuata. Mkakati ni lazima vibaka waishe Mzumbe. Amri gani inaruhusu kuiba? Kumbuka kuwa mshahara wa dhambi ni mauti. Kijana kapokea mshahara wake wa dhambi ya kuiba.
 
Sawa lakini hatujaambiwa tuue. Isitoshe hiyo quote sio maana yake unavyofikiria. Mauti inayozungumziwa ni spiritual death. Hata wewe kama una dhambi yoyote hata ya kusengenya you are dead spiritually. Haimaanishi kuua in the physical world. Mungu hawezi kutoa amri usiue halafu aruhusu mwenye dhambi auliwe physically. Ndiyo maana Yesu aliwaambiwa wale watu waliotaka kumuua yule mwanamke mzinzi asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe na wote waliondoka maana nafsi zao ziliwasuta. Ukiua physically na wewe utakufa in the same manner. Hapo hakuna ubishi. Neno la Mungu lazima litimie. Auae kwa upanga atakufa kwa upanga. Ndiyo maana Yesu wakati anakamatwa alimtibu yule askari aliyekatwa sikio na Peter ili hii laana isimwangukie Peter mtume wake aliyempenda.
Subiri, wengi watafuata. Mkakati ni lazima vibaka waishe Mzumbe. Amri gani inaruhusu kuiba? Kumbuka kuwa mshahara wa dhambi ni mauti. Kijana kapokea mshahara wake wa dhambi ya kuiba.
 
Sawa lakini hatujaambiwa tuue. Isitoshe hiyo quote sio maana yake unavyofikiria. Mauti inayozungumziwa ni spiritual death. Hata wewe kama una dhambi yoyote hata ya kusengenya you are dead spiritually. Haimaanishi kuua in the physical world. Mungu hawezi kutoa amri usiue halafu aruhusu mwenye dhambi auliwe physically. Ndiyo maana Yesu aliwaambiwa wale watu waliotaka kumuua yule mwanamke mzinzi asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe na wote waliondoka maana nafsi zao ziliwasuta. Ukiua physically na wewe utakufa in the same manner. Hapo hakuna ubishi. Neno la Mungu lazima litimie. Auae kwa upanga atakufa kwa upanga. Ndiyo maana Yesu wakati anakamatwa alimtibu yule askari aliyekatwa sikio na Peter ili hii laana isimwangukie Peter mtume wake aliyempenda.

Sasa kumbe kijana alishakuwa mfu spiritually! Mzumbe wameondoa mwili wake uliokuwa unawasumbua. Hapo sioni shida. Na aina ya miili yetu kuondoka duniani isikutishe sana kwani kuondoka ni kuondoka tu. Tusichopenda ni usumbufu wa kudokolewa au kujeruhiwa na watu wa aina ya huyo kijana. Kweli wewe ndugu yangu hupendi amani? Kwani watu tusiwe na amani kwa sababu ya kajitu kama hako kaliko ondolewa na unakokatetea? Kila jambo ni zuri kwa wakati wake, hata ubaya ni mzuri siku ya ubaya. Na kwa ubaya uliotendeka Mzumbe dhidi ya huyo dogo naamini imetumika vizuri. Namba ya wasumbufu imepungua na nafikiri tunaweza kupumua kidogo.
 
Back
Top Bottom