Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Wanamaliza form 4,wanakuja kuendesha Bajaj,pikipiki ,wamejaa mitaani matokeo ni Ajali ! tungewapatia elimu ya kilimo hata wabaki na maarifa ambayo ni halisi ,mipango ya nchi yetu kweli ina uhalisia ,leo hii watoto wa vidato vya 4,6,!hawafahamu hata kutengeneza bustani!nauliza ni Kilimo kwanza Au Bajaj kwanza!