bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,444
Hebu tutolee uozo wa hilo robot lenu. Watu tunaongea habar za magufuli ww unatuletea mzimu wenu huo.
unaongea na nani habari za maguful mbwiga wewe!!!!
Hebu tutolee uozo wa hilo robot lenu. Watu tunaongea habar za magufuli ww unatuletea mzimu wenu huo.
Wamechaguliwaje kujiunga na vyuo husika bila kua na huo ufaulu unaousema?
Leo nimeshuhudia wanafunzi wa vyuo vikuu waliokusanyika Bodi ya Mikopo wakidai kupatiwa mikopo huku wakijibiwa kuwa hawawezi kupata mkopo kwasababu hawana sifa za kupata mikopo.
Hii ndio tofauti kubwa kati ya CCM na UKAWA ambao wao UKAWA waliahidi, kupitia Lowassa, kutoa elimu bure mpaka chuo kikiuu.
Pole sana vijana hii ndio CCM ambayo haiwezi kubuni sera rafiki kwa mtanzania masikini mpaka kwanza CHADEMA wazibuni sera hizo alafu wao waje ku-copy na ku-paste kama kawaida yao.
Leo nimeshuhudia wanafunzi wa vyuo vikuu waliokusanyika Bodi ya Mikopo wakidai kupatiwa mikopo huku wakijibiwa kuwa hawawezi kupata mkopo kwasababu hawana sifa za kupata mikopo.
Hii ndio tofauti kubwa kati ya CCM na UKAWA ambao wao UKAWA waliahidi, kupitia Lowassa, kutoa elimu bure mpaka chuo kikiuu.
Pole sana vijana hii ndio CCM ambayo haiwezi kubuni sera rafiki kwa mtanzania masikini mpaka kwanza CHADEMA wazibuni sera hizo alafu wao waje ku-copy na ku-paste kama kawaida yao.