Wanafunzi hawa wa vyuo vikuu watamkumbuka sana Lowassa

Wanafunzi hawa wa vyuo vikuu watamkumbuka sana Lowassa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,198
Reaction score
162,736
Leo nimeshuhudia wanafunzi wa vyuo vikuu waliokusanyika Bodi ya Mikopo wakidai kupatiwa mikopo huku wakijibiwa kuwa hawawezi kupata mkopo kwasababu hawana sifa za kupata mikopo.

Hii ndio tofauti kubwa kati ya CCM na UKAWA ambao wao UKAWA waliahidi, kupitia Lowassa, kutoa elimu bure mpaka chuo kikiuu.

Pole sana vijana hii ndio CCM ambayo haiwezi kubuni sera rafiki kwa mtanzania masikini mpaka kwanza CHADEMA wazibuni sera hizo alafu wao waje ku-copy na ku-paste kama kawaida yao.
 
Ila wengi ya hawa wanafunzi walinyimwa fursa ya kupiga kura Salary Slip
 
Last edited by a moderator:
Wanafiki tu.ngoja waisome number.


Swissme
 
Hebu tutolee uozo wa hilo robot lenu. Watu tunaongea habar za magufuli ww unatuletea mzimu wenu huo.
 
Leo nimeshuhudia wanafunzi wa vyuo vikuu waliokusanyika Bodi ya Mikopo wakidai kupatiwa mikopo huku wakijibiwa kuwa hawawezi kupata mkopo kwasababu hawana sifa za kupata mikopo.

Hii ndio tofauti kubwa kati ya CCM na UKAWA ambao wao UKAWA waliahidi, kupitia Lowassa, kutoa elimu bure mpaka chuo kikiuu.

Pole sana vijana hii ndio CCM ambayo haiwezi kubuni sera rafiki kwa mtanzania masikini mpaka kwanza CHADEMA wazibuni sera hizo alafu wao waje ku-copy na ku-paste kama kawaida yao.

Bodi ya mikopo wenye vigezo ndio wanakopeshwa,na kigezo kikubwa ni ufaulu na kozi unayosoma
 
Hatuwezi kukabidhi nchi kwa Fisadi kwa kigezo tu angetoa mikopo bila ya kuangalia Kigezo.
 
Kuna anayeenda chuo kikuu bila kufaulu

Unapotoa mkopo huwezi ukampa aliyepata division III ukamnyima aliyepata division I na huwezi ukamnyima alichaguliwa Ualimu,Udaktari au Engineering ukampa mkopo anayeenda kusoma Political Science au Human Resource
 
Unapotoa mkopo huwezi ukampa aliyepata division III ukamnyima aliyepata division I na huwezi ukamnyima alichaguliwa Ualimu,Udaktari au Engineering ukampa mkopo anayeenda kusoma Political Science au Human Resource

Huo ni ubaguzi mkuu ,kwa mtazamo huo Div 2&3 ni failed hata hivyo nimekuelewa tuombe jpm afute huo ubaguzi kwa sababu kitu chenyewe ni mkopo na utarudishwa (nimemnukuu.jpm)
 
Hatutaki elimu tuna taka kazi tu hapa kwenye nchi ya viwanda. Ngosha amehaidi.
 
Bodi ya mikopo wenye vigezo ndio wanakopeshwa,na kigezo kikubwa ni ufaulu na kozi unayosoma

Wamechaguliwaje kujiunga na vyuo husika bila kua na huo ufaulu unaousema?
 
Kigezo cha kutoa mikopo kwa sasa siyo ufaulu tu. Mikopo inatolewa kwa wasiokuwa na uwezo wa kugharimia elimu ya juu. Ni jambo la kawaida baadhi ya wazazi wanasomesha watoto shule za msingi na sekondari zenye gharama ya juu ikifika muda wa kwenda chuo kikuu mzazi hana uwezo. Kama Bodi ya Mikopo ingetumia kigezo cha Shule aliyesoma mwanafunzi kabla ya kuingia chuo kikuu ingeweza kusaidia kuliko hali ilivyo sasa
 
Anaye amini Lowassa angetoa elimu bure mpaka chuo kikuu ni punguani tu.
 
naomba msaada jaman was loan allocation status. s1066/0042/2005. naomba yangu ni 0716377967. nitashukuru manake nimekomaa kuyatafuta cjataona hayo majina.
 
Back
Top Bottom