jamani niko hapa DUCE wanafunz wamekata tamaa hatar mfano watu 56 tu wanaosoma BAED ndio waliopata mkopo ....its shame to the responsible authority
Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wengi wakosa mikopo vyuo vikuu.
mtaisoma number,c mlijifanya kuwa team lowasa nyie au mlidhan hatuwajui?
##ccm mbele kwa mbele##
mliambiwa mumchague lowassa mkajidai vichwa ngumu, hamna rangi mtaacha ona. Hapo bado subirini mfike chuoni!!Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wengi wakosa mikopo vyuo vikuu.