Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,615
Hayo yameibuliwa katika kikao cha kutathmini utekelezaji wa mpango mkakati wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUA) katika Wilaya za Shinyanga na Kishapu mkoani humo
Aidha, Mratibu wa MTAKUA Wilaya ya Kishapu, Mwajuma Abeid ameitaka Jamii kuachana na mila na desturi potofu za kuwaogesha dawa za mvuto watoto wa kike, jambo ambalo linasababisha wanafunzi wengi kushindwa kumaliza shule ikiwemo kukatisha masomo kisa ujauzito.
Aidha, Mratibu wa MTAKUA Wilaya ya Kishapu, Mwajuma Abeid ameitaka Jamii kuachana na mila na desturi potofu za kuwaogesha dawa za mvuto watoto wa kike, jambo ambalo linasababisha wanafunzi wengi kushindwa kumaliza shule ikiwemo kukatisha masomo kisa ujauzito.